Ndege wa ajabu wavamia makazi Kagera
Ndege wa ajabu wanaosadikiwa kutoa kinyesi chenye sumu kali, wamevamia Kisiwa cha Musira kilichopo Manispaa ya Bukoba na kusababisha vifo vya mifugo na ndege wafugwao, huku ukali wa sumu hiyo ukisababisha kutoboka mabati ya nyumba zilizopo kisiwani humo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo19 May
Tembo wavamia makazi karibu na Mji wa Dodoma
WATU wawili wakazi wa Kitongoji cha Kawawa, Manispaa ya Dodoma wamekufa baada ya kukanyagwa na tembo wenye hasira jana.
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Ndege wa ajabu waanza kuteketezwa Bukoba
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Taliban wavamia uwanja wa ndege Afghanistan
11 years ago
Habarileo13 Mar
Kinyesi cha ndege wa ajabu chaua mbuzi, kuku
NDEGE anayedaiwa kuwa wa ajabu, amezuka kisiwani Musira katika Manispaa ya Bukoba, ambaye kinyesi chake inadaiwa kimesababisha vifo vya mbuzi na kuku baada ya kukila. Kutokana na tukio hilo, wakazi wa kisiwa hicho, mkoani Kagera wamepigwa marufuku kusafirisha mbuzi na kuku kutoka au kuingia kisiwani humo.
11 years ago
Michuzi31 May
ajabu na kweli: baba na binti waendesha ndege ya abiria ya Kenya Airways pamoja
9 years ago
Bongo504 Nov
Polisi wavamia nyumba ya Lil Wayne na kuchukua mali kutokana na deni la kukodi ndege binafsi
![url](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/url-300x194.jpg)
Polisi walivamia nyumba ya Lil Wayne huko Miami Beach Jumanne hii na kuchukua mali mbalimbali kutokana na deni alilonalo rapper huyo baada ya kukodi ndege binafsi na kushindwa kulipa.
Kwa mujibu wa TMZ, polisi walipofika nyumbani kwa Weezy, walinzi waliwauzia kuingia ndani. Maofisa walieleza kuwa walienda hapo kukamata vitu mbalimbali kwakuwa Wayne hajalipa deni lake la dola milioni 2 za kukodi ndege kutoka kwenye kampuni ya Signature Group.
Kampuni hiyo ilimshtaki Weezy kwa kushindwa...
5 years ago
CCM Blog22 May
NDEGE YAANGUKA KATIKA MENEO LA MAKAZI YA WATU PAKISTAN
![Rescue workers gather at the site after a Pakistan International Airlines flight crashed in a residential neighbourhood](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/A8E9/production/_112414234_061583193-1.jpg)
5 years ago
BBCSwahili22 May
Ndege ya yaanguka katika eneo la makazi ya watu Pakistan
10 years ago
MichuziKAGERA KUJIVUNIA UWANJA WA NDEGE WA KISASA
Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakiwasili kwenye Kiwanja cha Ndege cha Kagera kujionea maendeleo ya Mradi wa Upanuzi wa Kiwanja hicho. Waliotangulia mbele ni Kiongozi wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri (Kushoto), Meneja Mradi wa Upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Bukoba, Mhandisi Suleiman Athuman (Katikati) na Meneja wa kiwanja hicho, Bw. Julius Mulungwana (Kulia).