Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taliban wavamia uwanja wa ndege Afghanistan

Wapiganaji wa kundi la Taleban nchini Afghanistan wametangaza kuushambulia uwanja wa ndege wa Kandahar na kuwauwa watu kadhaa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Taliban waua 46 katika uwanja wa ndege

Watu 46 wakiwemo wanawake na watoto wameuwawa katika shambulio la Taliban, katika uwanja wa ndege wa Kandahar Afghanistan.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afghanistan yazungumza rasmi na Taliban

Ujumbe wa kwanza rasmi wa serikali ya Afghanistan unasema mazungumzo hayo yamefanikiwa, na awamu nyengine itafanyika hivi karibuni

 

9 years ago

BBCSwahili

Taliban wakamata wanajeshi - Afghanistan

Kikosi kidogo cha majeshi ya serikali ya Afghanistan kimeripotiwa kushikiliwa katika kambi ya kijeshi kusini mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Taliban waanzisha mapigano Afghanistan

Serikali ya Afghanistan imesema mamia ya wapiganaji wa Taliban wamevamia na kuanzisha mapigano nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uingereza yaisadia Afghanistan kukabili Taliban

Naibu gavana katika jimbo la Helmand Kusini mwa Afghanistan ameiambia BBC kuwa vikosi zaidi vya wanajeshi vimewasili Sangin kuuikabili Taliban

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamke raia wa Afghanistan aliyefanya mazungumzo ya amani na wanamgambo wa Taliban

Fawzia Koofi alikuwa sehemu ya ujumbe katika awamu tatu na kukutana na wawakilishi wa Taliban mara mbili mjini Moscow na mara moja mjini Doha.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Afghanistan: Je Taliban watafanya nini baada ya kutia saini makubaliano na Marekani?

Matumaini yenye tahadhari yamekuwa yakiongezeka lakini hatma ya kisiasa ya Afghanistan bado haijulikani

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndege za Pakistan zaua Taliban 15

Ndege za jeshi la Pakistan zimeshambulia maficho ya Taliban huko Waziristan

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani