Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uingereza yaisadia Afghanistan kukabili Taliban

Naibu gavana katika jimbo la Helmand Kusini mwa Afghanistan ameiambia BBC kuwa vikosi zaidi vya wanajeshi vimewasili Sangin kuuikabili Taliban

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Taliban wakamata wanajeshi - Afghanistan

Kikosi kidogo cha majeshi ya serikali ya Afghanistan kimeripotiwa kushikiliwa katika kambi ya kijeshi kusini mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afghanistan yazungumza rasmi na Taliban

Ujumbe wa kwanza rasmi wa serikali ya Afghanistan unasema mazungumzo hayo yamefanikiwa, na awamu nyengine itafanyika hivi karibuni

 

10 years ago

BBCSwahili

Taliban waanzisha mapigano Afghanistan

Serikali ya Afghanistan imesema mamia ya wapiganaji wa Taliban wamevamia na kuanzisha mapigano nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Taliban wavamia uwanja wa ndege Afghanistan

Wapiganaji wa kundi la Taleban nchini Afghanistan wametangaza kuushambulia uwanja wa ndege wa Kandahar na kuwauwa watu kadhaa

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamke raia wa Afghanistan aliyefanya mazungumzo ya amani na wanamgambo wa Taliban

Fawzia Koofi alikuwa sehemu ya ujumbe katika awamu tatu na kukutana na wawakilishi wa Taliban mara mbili mjini Moscow na mara moja mjini Doha.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Afghanistan: Je Taliban watafanya nini baada ya kutia saini makubaliano na Marekani?

Matumaini yenye tahadhari yamekuwa yakiongezeka lakini hatma ya kisiasa ya Afghanistan bado haijulikani

 

10 years ago

BBCSwahili

Uingereza yataka kukabili kitisho cha IS

Uingereza imetaka kuruhusiwa na bunge kushambulia maeneo ya wapiganaji wa Islamic State ili kudhibiti mashambulio yao

 

11 years ago

BBCSwahili

Pakistan kuzungumza na Taliban

Kundi la waakilishi wa serikali nchini Pakistan linasafiri kuelekea katika eneo la wapiganaji wa Taliban Kaskazini Magharibi mwa taifa hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Taliban yashambulia Kabul

Wapiganaji wa kundi la Taliban wametekeleza mashambulizi katika jumba la kukodisha ambalo hutumiwa sana na wageni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani