Mwanamke raia wa Afghanistan aliyefanya mazungumzo ya amani na wanamgambo wa Taliban
Fawzia Koofi alikuwa sehemu ya ujumbe katika awamu tatu na kukutana na wawakilishi wa Taliban mara mbili mjini Moscow na mara moja mjini Doha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili24 Dec
Taliban wakamata wanajeshi - Afghanistan
Kikosi kidogo cha majeshi ya serikali ya Afghanistan kimeripotiwa kushikiliwa katika kambi ya kijeshi kusini mwa nchi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Taliban waanzisha mapigano Afghanistan
Serikali ya Afghanistan imesema mamia ya wapiganaji wa Taliban wamevamia na kuanzisha mapigano nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Afghanistan yazungumza rasmi na Taliban
Ujumbe wa kwanza rasmi wa serikali ya Afghanistan unasema mazungumzo hayo yamefanikiwa, na awamu nyengine itafanyika hivi karibuni
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Taliban wavamia uwanja wa ndege Afghanistan
Wapiganaji wa kundi la Taleban nchini Afghanistan wametangaza kuushambulia uwanja wa ndege wa Kandahar na kuwauwa watu kadhaa
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Uingereza yaisadia Afghanistan kukabili Taliban
Naibu gavana katika jimbo la Helmand Kusini mwa Afghanistan ameiambia BBC kuwa vikosi zaidi vya wanajeshi vimewasili Sangin kuuikabili Taliban
5 years ago
BBCSwahili01 Mar
Vita vya Afghanistan: Je Taliban watafanya nini baada ya kutia saini makubaliano na Marekani?
Matumaini yenye tahadhari yamekuwa yakiongezeka lakini hatma ya kisiasa ya Afghanistan bado haijulikani
11 years ago
BBCSwahili18 Jan
Raia wa kigeni wauawa Afghanistan
Takriban watu 15 wameuawa mjini Kabul baada ya mlipuaji wa kujitoa mhanga kushambulia mkahawa unaopendwa na raia wa kigeni
10 years ago
BBCSwahili12 Dec
Ni nani mwanamke huyu aliyeonekana Afghanistan?
Lakini picha ya hivi karbuni ya mwanamke akiwa amevalia nguo fupi imesambaza sana kwenye mitandao ya kijamii. Sababu kubwa? picha hii ni ya mwanamke akiwa mjini Kabul Afghanistan.
11 years ago
BBCSwahili06 Apr
Afghanistan yafanya uchaguzi wa amani
Raia nchini Afghanistan wanasherehekea kile kinachoonekana kama uchaguzi wa urais wa amani licha ya vitisho vya kundi la Taleban.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania