Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke raia wa Afghanistan aliyefanya mazungumzo ya amani na wanamgambo wa Taliban

Fawzia Koofi alikuwa sehemu ya ujumbe katika awamu tatu na kukutana na wawakilishi wa Taliban mara mbili mjini Moscow na mara moja mjini Doha.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Taliban wakamata wanajeshi - Afghanistan

Kikosi kidogo cha majeshi ya serikali ya Afghanistan kimeripotiwa kushikiliwa katika kambi ya kijeshi kusini mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Taliban waanzisha mapigano Afghanistan

Serikali ya Afghanistan imesema mamia ya wapiganaji wa Taliban wamevamia na kuanzisha mapigano nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afghanistan yazungumza rasmi na Taliban

Ujumbe wa kwanza rasmi wa serikali ya Afghanistan unasema mazungumzo hayo yamefanikiwa, na awamu nyengine itafanyika hivi karibuni

 

9 years ago

BBCSwahili

Taliban wavamia uwanja wa ndege Afghanistan

Wapiganaji wa kundi la Taleban nchini Afghanistan wametangaza kuushambulia uwanja wa ndege wa Kandahar na kuwauwa watu kadhaa

 

9 years ago

BBCSwahili

Uingereza yaisadia Afghanistan kukabili Taliban

Naibu gavana katika jimbo la Helmand Kusini mwa Afghanistan ameiambia BBC kuwa vikosi zaidi vya wanajeshi vimewasili Sangin kuuikabili Taliban

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Afghanistan: Je Taliban watafanya nini baada ya kutia saini makubaliano na Marekani?

Matumaini yenye tahadhari yamekuwa yakiongezeka lakini hatma ya kisiasa ya Afghanistan bado haijulikani

 

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa kigeni wauawa Afghanistan

Takriban watu 15 wameuawa mjini Kabul baada ya mlipuaji wa kujitoa mhanga kushambulia mkahawa unaopendwa na raia wa kigeni

 

10 years ago

BBCSwahili

Ni nani mwanamke huyu aliyeonekana Afghanistan?

Lakini picha ya hivi karbuni ya mwanamke akiwa amevalia nguo fupi imesambaza sana kwenye mitandao ya kijamii. Sababu kubwa? picha hii ni ya mwanamke akiwa mjini Kabul Afghanistan.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afghanistan yafanya uchaguzi wa amani

Raia nchini Afghanistan wanasherehekea kile kinachoonekana kama uchaguzi wa urais wa amani licha ya vitisho vya kundi la Taleban.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani