Ni nani mwanamke huyu aliyeonekana Afghanistan?
Lakini picha ya hivi karbuni ya mwanamke akiwa amevalia nguo fupi imesambaza sana kwenye mitandao ya kijamii. Sababu kubwa? picha hii ni ya mwanamke akiwa mjini Kabul Afghanistan.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM29 Dec
Huyu ndiye kakakuona aliyeonekana leo Kigamboni,jijini Dar
Huyu ndiye Kakakuona aliyeonekana leo maeneo ya Kigamboni,jijini Dar, alikunywa maji mengi sana,akafuata unga na pesa,aliepuka panga na kisu. Watabiri wa mambo wanasema tutarajie mema mwakani.
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Mwanamke raia wa Afghanistan aliyefanya mazungumzo ya amani na wanamgambo wa Taliban
5 years ago
BBCSwahili15 May
Ghasia Afghanistan: Mwanamke anayenyonyesha waliofiwa na mama zao kwa shambulio
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Je,huyu ndio mwanamke mrembo duniani?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yKWLMefqYBzAVcezIo62uF653oFqKXWtK-03iJZJmuLGoBpXEGkUc49EC9CgH2B1ZNsnq4CqI9L5QsMMdST5AwmmoDoxnihR/C.jpg?width=650)
NANI ANASTAHILI KUHONGWA, MWANAUME AU MWANAMKE?
10 years ago
Bongo Movies03 Jun
Nani Huyu Anayemtibulia Uwoya kwa Baba Mtoto Wake?!, Soma Alichokieleza
UBUYU: Irene Uwoya amefunguka haya kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram
Kuwa juu sio lazima utumie migongo ya watu,mwanamke kujiamin afu mmbwa hawanisumbui kabisa ila fanya yote acha kumtumia msg za uwongo mme wangu ata kama tumetengana tuna mtoto!sooo plzzz kaa mbali na mim ,mim sijazoea uswahili na bishana na pesa sio maneno!ila narudia tena acha kumtumia mme wangu msg za kiseee kama mnatakana fanyeni bila kunitaja tena hamtaona naongea!nazan umenielewa vzuri sina haja...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Nani ana wajibu wa kujishusha, mwanamke au mwanaume?-2
WIKI iliyopita tuliianza mada hii nzuri yenye elimu kuhusu mpango wa Mungu katika ndoa.
Tuliishia pale Mungu alipokuwa akitoa adhabu kwa nyoka. Adhabu hiyo pia aliitoa kwa mwanaume (Adam) na kwa mwanamke (Eva).
ENDELEA SASA…
Mwanamke aliambiwa atazaa kwa uchungu, huo ndiyo uhalisia. Hadi leo mwanamke anaendelea kuzaa kwa uchungu. Jukumu hilo ni la kwake, si la mwanaume. Mwanaume anatekeleza lile la kwake la kutafuta na kula kwa jasho.
Hii ina maana kubwa sana katika maisha yetu. Kweli...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LB6l9Yyl8LBAyAuLM02bOQADrLqf9aRGZzWGE8psnndIjCu7k1Atjbl2ea4OSEUldCJlSUuWUCdK-WUyPXA06Tj6ZxopR62d/MAHABA.jpg)
MWANAMKE,MWANAUME, NANI ANAONGOZA KUTOA SIRI ZA UHUSIANO?