Huyu ndiye kakakuona aliyeonekana leo Kigamboni,jijini Dar
Huyu ndiye Kakakuona aliyeonekana leo maeneo ya Kigamboni,jijini Dar, alikunywa maji mengi sana,akafuata unga na pesa,aliepuka panga na kisu. Watabiri wa mambo wanasema tutarajie mema mwakani.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo30 Dec
KAKAKUONA ALIYEONEKANA LEO KIGAMBONI,JIJINI DAR
![](http://api.ning.com/files/uVSra6c8ZxVXQ1Yh4L-UmUg*1WT915jX1JAqmZrKsyqGbBzrd8cWiorPn1CASKBGd8LVMq5VJIJbFhp*GUnyHLHbuQdC*hmL/kakakuona.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U3c5M7JQcLs/VKGNSRBUz8I/AAAAAAAG6ek/_8kdqRyvVgQ/s72-c/unnamed.jpg)
kakakuona aonekana kigamboni leo, wananchi watabiri ni ishara ya mvua nyingi msimu huu
![](http://1.bp.blogspot.com/-U3c5M7JQcLs/VKGNSRBUz8I/AAAAAAAG6ek/_8kdqRyvVgQ/s1600/unnamed.jpg)
Lakini akaishia kunywa maji tu kabla ya kukimbilia vichakani. Wananchi kwa mamia waliofurika kumuona Kakakuona huyo walisikika wakisema kuwa huenda huo ni utabiri kwamba huenda mvua zikawa nyingi msimu huu.
Polisi walifika eneo la tukio na baada ya...
10 years ago
BBCSwahili12 Dec
Ni nani mwanamke huyu aliyeonekana Afghanistan?
Lakini picha ya hivi karbuni ya mwanamke akiwa amevalia nguo fupi imesambaza sana kwenye mitandao ya kijamii. Sababu kubwa? picha hii ni ya mwanamke akiwa mjini Kabul Afghanistan.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3TCepeJDKFI/VBIGO0xkfyI/AAAAAAAGjBQ/KcZFQuXH3pA/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
KIVUKO CHA MV KIGAMBONI CHAANZA KUFANYA KAZI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
Kivuko cha MV Kigamboni kimeanza safari zake jioni ya leo baada ya ukarabati mkubwa uliofanywa na Kikosi cha Maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli.
Kivuko cha MV KIgamboni kikiwa majini kuelekea eneo la Ferry kwa ajili ya kuanza kutoa Huduma ya Usafiri.
Abiria wakiingia kwenye Kivuko cha MV Kigamboni mara baada ya kuanza kufanya kazi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-3TCepeJDKFI/VBIGO0xkfyI/AAAAAAAGjBQ/KcZFQuXH3pA/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7vwNewQyL_c/VBIGPCBJd_I/AAAAAAAGjBU/pTJvhZIqu4g/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-E13a4vfj-mM/XsD0VJlshmI/AAAAAAALqiI/3PJIu0xV5NUyPMEEX1evQ0DqRVbpO8eswCLcBGAsYHQ/s72-c/e342cfad-ff15-455d-ad5a-294d1afe3faa.jpg)
FIHIR NVUBGI; HUYU NDIYE DIWANI ALIYEANZA KUONGOZA KATA YA MSANGENI MIAKA MITATU BAADA YA NCHI TANZANIA KUPATA UHURU HADI LEO
*Hajawahi kung'atuka wala kuondolewa, afikiria kugombea tena mwaka huu, azungumzia thamani ya Mzee Msuya wilayani Mwanga
Charles James, Michuzi TV
JINA lake ni Fihir Mvungi, umri wake ni miaka 80. Ameongoza kwa miaka 55 kama Diwani wa Kata ya Msangeni iliyopo wilayani Mwanga, Kilimanjaro.
Ndio. Unaweza kusema Mvungi ndiye kiongozi wa kuchaguliwa ambaye amehudumu kwenye nafasi yake kwa muda mrefu bila kung'atuka wala kuondolewa na wananchi.
Katika mahojiano maalum ambayo amefanya na Michuzi...
Charles James, Michuzi TV
JINA lake ni Fihir Mvungi, umri wake ni miaka 80. Ameongoza kwa miaka 55 kama Diwani wa Kata ya Msangeni iliyopo wilayani Mwanga, Kilimanjaro.
Ndio. Unaweza kusema Mvungi ndiye kiongozi wa kuchaguliwa ambaye amehudumu kwenye nafasi yake kwa muda mrefu bila kung'atuka wala kuondolewa na wananchi.
Katika mahojiano maalum ambayo amefanya na Michuzi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaF66vGdvYamCoZRFnZiiUIHVweg2mxkv1sqqJtazE8F19Q5ERPyWBCfKMmfT71F7J82jalBVrjbu6ncjPQWXkNA/ajali2.jpg?width=650)
AJALI ENEO LA KIBADA, KIGAMBONI JIJINI DAR
Magari mawili madogo yakiwa yamegongana eneo la Kibada, Kigamboni jijini Dar es Salaam jana. Wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya ajali hiyo.…
10 years ago
GPLKAKAKUONA AONEKANA DAR
Kakakuona akitembea.
Mama Mwita akimshika Kakakuona baada ya kuingia nyumbani kwake.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfZL-5BJ0OPbb3STk6edKQM-Lq3zfyCvyCw8m1IaHfOOHdLDss96bNV8mEl5WkHFdEFu-0tTAK*9hEGqAKRMWElr/mazikoaisha1.jpg)
MWILI WA AISHA MADINDA WAZIKWA MAKABURI YA KIBADA, KIGAMBONI JIJINI DAR
Maziko ya mwili wa marehemu Aisha Madinda yakifanyika katika makaburi ya Kibada, Kigamboni jioni hii. Mwili wa Aisha Madinda ukishushwa kaburini.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfYyjXCDxjVFBsExdaEL8aAGy4GFohcAVfnucCwVzKRKjtSYLIphDA0fLsOePVSldtIu4a79WxPdbnCO9VJEQznO/MSIBA.jpg?width=650)
TASWIRA KUTOKA MSIBANI KWA AISHA MADINDA, KIGAMBONI JIJINI DAR
Baadhi ya waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu Aisha Madinda, Kigamboni jijini Dar leo.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania