Wafariki baada ya basi kuacha njia
Basi hilo liliacha njia baada ya ajali hiyo na kuwagonga watu hao waliokuwa wakitembea kwa miguu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pi6CvMfdI_E/VBCtiyWFj_I/AAAAAAAGiqo/0yFhRYwD4Tw/s72-c/1.jpg)
NEWS ALERT:Watu wawili wanaidaiwa kufariki kufuatia ajali ya Basi la Super Feo kuacha njia na kugonga mti
Watu wawili Wanadaiwa kupoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa vibaya kufuatia ajali mbaya iliyotokea leo katika eneo la Sanangula nje kidogo ya mji wa Songea mkoani Ruvuma,ikilihusisha basi la Super Feo linalofanya safari zake kati ya Songea - Makambako lililoacha njia na kugonga mti. Aidha inaelezewa kuwa chanzo cha ajali hiyo kinadaiwa kuwa ni mwendo kasi.
Sehemu ya basi hilo la Super Feo lionekanavyo pichani likiwa limepondeka pondeka baada ya kuacha njia na kugonga mti
Baadhi ya...
![](http://1.bp.blogspot.com/-pi6CvMfdI_E/VBCtiyWFj_I/AAAAAAAGiqo/0yFhRYwD4Tw/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-auIPRMy92Kw/VBCtjA2AAHI/AAAAAAAGiqs/KMGVmk4n0QU/s1600/3.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04avKIP1gitXBLveV0diDRIZ0CpyVNqUvAssEr4e3-d6v5DckQKa072u2QTLYCvLSwmiMAqULBZ14mYy7W8xkViRJ/1ndege.jpg?width=650)
TASWIRA KUTOKA JNIA BAADA YA NDEGE YA KENYA AIRWAYS KUACHA NJIA
Mmoja wa abiria katika ndege ya Shirika la Ndege la Kenya akitoka kwenye ndege hiyo. HALI ya hofu ilitanda miongoni mwa abiria walikuwa katika ndege ya Shirika la Ndege la Kenya (Kenya Airways) baada ya ndege hiyo kudaiwa kuteleza na kunasa njia kuu na kufanya ndege nyingine kushindwa kutua uwanjani hapo. Chanzo cha ajali hiyo ni mvua kubwa inayoendelea kunyesha iliyoanza leo asubuhi mpaka muda huu ikiwa bado inanyesha. Abiria...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/78albYJ5oUk/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5-4Pj-WwXsE/VLykx-LRsmI/AAAAAAAG-S8/sGedhbaILt0/s72-c/image061.jpg)
DEREVA AFARIKI DUNIA BAADA YA GARI ALILOKUWA AKISAFIRIA KUACHA NJIA NA KUPINDUKA WILAYANI MBOZI,MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-5-4Pj-WwXsE/VLykx-LRsmI/AAAAAAAG-S8/sGedhbaILt0/s1600/image061.jpg)
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo majira ya saa 01:30 huko eneo la mlowo, kata ya mlowo, tarafa ya vwawa, wilaya ya mbozi, mkoa wa mbeya katika barabara kuu ya mbeya/tunduma.
Aidha katika ajali hiyo watu wawili waliofahamika kwa majina ya 1....
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-fJN8buW0sO8/Vbdrs0PSaKI/AAAAAAABS2g/bRqGRDjRVwQ/s72-c/11813388_760691810708462_2873074362703542337_n.jpg)
WATU WANNE WAFARIKI BAADA YA BASI LA SABUNI EXPRESS KUGONGAA USO KWA USO NA TOYOTA LAND CRUISER ENEO LA BUGORORA MKOANI KAGERA
![](http://4.bp.blogspot.com/-fJN8buW0sO8/Vbdrs0PSaKI/AAAAAAABS2g/bRqGRDjRVwQ/s640/11813388_760691810708462_2873074362703542337_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mwh7Kbv4Pbs/VbdruKPFIHI/AAAAAAABS2s/Dbhlz4d4ns8/s640/11218754_760691854041791_5831288004828444669_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wqiMRXIcgrA/Vbdrs3PObuI/AAAAAAABS2c/vUKT0cVYTD0/s640/11800053_760691814041795_6959831254475069191_n.jpg)
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Watu 11 wafariki ajali ya basi, 55 wajeruhiwa
Abiria 11 waliokuwa wakisafiri na basi la Kampuni ya Burudani kutoka Korogwe kuelekea Dar es Salaam akiwamo dereva wamefariki, huku wengine 55 wakijeruhiwa baada ya basi hilo aina ya Nissan kuacha njia na kupinduka kwenye kona wakati likijaribu kupishana na lori aina ya Fuso.
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Sita wafariki ajali ya basi Mkuranga
Watu sita wamefariki dunia na wengine wanne kujeruhiwa baada ya basi mali ya kampuni ya Ibra Line walilokua wanasafiria kugongana uso kwa uso na basi lingine dogo katika barabara kuu ya Dar salaam - Kilwa.
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Watano wafariki ajali ya basi Handeni
Watu watano wamekufa hapo hapo na wengine 39 kujeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Matro walilokuwa wakisafiria kutoka Rombo kwenda Dar Es Salaam kuacha njia na kupinduka katika Kijiji cha Manga kata ya Mazingara wilayani Handeni.
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Sita wafariki dunia ajali ya basi Mkuranga
Watu sita wamefariki dunia na wengine wanne kujeruhiwa baada ya basi mali ya kampuni ya Ibra Line walilokua wanasafiria kugongana uso kwa uso na basi lingine dogo katika barabara kuu ya Dar salaam - Kilwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania