Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je,simu zinazojikunja zinadumu muda mrefu?

Simu zinazoweza kujikunja kwa mara nyingine tena zinakosolewa iwapo zinaweza kudumu kwa mda mrefu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kuifanya simu yako idumu na chaji muda mrefu

Ujio wa matumizi ya simu za kisasa maarufu kwa jina la Smartphone umewafanya Watanzania wengi kuzinunua, kutokana na kuwa na uwezo mkubwa wa mawasiliano.

 

10 years ago

Bongo5

Muda si mrefu utaanza kupiga na kupokea simu kwa WhatsApp!

WhatsApp inajipanga kuongeza upigaji na upokeaji simu (voice calls) kwenye app yake kwa mara ya kwanza. Watumiaji wa app hiyo wataweza kupiga simu kwa watu walionao kwenye contacts vile vile kama wanavyoweza kuwatumia ujumbe. Mtandao wa Uholanzi, AndroidWorld umeweka screenshots za majaribio ya huduma hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kunyonyesha muda mrefu ni faida?

Utafiti uliofanyika nchini Brazil umebaini kuwa watoto wanaonyonya kwa muda mrefu wanakuwa na akili zaidi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mahakama kumaliza mashauri ya muda mrefu

MAHAKAMA ya Tanzania iko katika mchakato maalumu wa kumaliza mashauri yote ya muda mrefu Kanda ya Dar es Salaam na Tabora. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Habarileo

Walalamikia kesi za kijinsia kuchukua muda mrefu

WAZAZI Wilaya ya Kati Unguja wamesema hawaridhishwi na mwenendo wa uendeshaji wa kesi za udhalilishaji wa kijinsia, hivyo wanataka zisuluhishwe nje ya mahakama kwa kufikiwa maelewano.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marais walioongoza muda mrefu zaidi Afrika

Rais wa Congo-Brazzaville Denis Sassou Nguesso ni mmoja wa viongozi wa sasa Afrika waliokaa muda mrefu zaidi uongozi. Wengine ni kina nani?

 

10 years ago

Mwananchi

Hatma ya majaji escrow kuchukua muda mrefu

>Jaji Mkuu Mohamed Chande amesema hatma ya majaji wawili waliotajwa kupokea fedha zinazohusishwa na sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, itachukua muda mrefu kwa kuwa uchunguzi huhitaji muda mrefu kukamilika.

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa Afichua kimya cha muda mrefu

Charles Mullinda na Jimmy Charles, Dodoma
HATIMAYE Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, jana alivunja ukimya wa muda mrefu alipofanya mahojiano ya ana kwa ana na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari.
Katika mkutano huo,Lowassa aliitumia nafasi hiyo kutangaza msimamo wake wa siasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Lowassa aliitumia fursa ya mahojiano hayo, yaliyofanyika nyumbani kwake eneo la Area C mjini hapa, kuwaeleza wahariri kuwa hana mpango wa kuhama CCM licha ya kuwapo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mechi yavunja rekodi kuchezwa muda mrefu

Mechi ya Mchezo wa tenis kati ya raia wa Argentina Leonardo Mayer na Joao Souza wa Brazili imevunja rekodi ya mchezo huo hapo jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani