Marais walioongoza muda mrefu zaidi Afrika
Rais wa Congo-Brazzaville Denis Sassou Nguesso ni mmoja wa viongozi wa sasa Afrika waliokaa muda mrefu zaidi uongozi. Wengine ni kina nani?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Stars hii inahitaji muda mrefu zaidi kujengwa
DROO ya mechi za awali kuwania tiketi ya kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa Afrika za mwakani nchini Morocco, ilipangwa jana mjini Cairo, Misri. Timu zitakazopenya hatua hiyo...
9 years ago
Bongo510 Nov
Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita
Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.
Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.
Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Kunyonyesha muda mrefu ni faida?
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Je,simu zinazojikunja zinadumu muda mrefu?
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Mahakama kumaliza mashauri ya muda mrefu
MAHAKAMA ya Tanzania iko katika mchakato maalumu wa kumaliza mashauri yote ya muda mrefu Kanda ya Dar es Salaam na Tabora. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam...
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Mechi yavunja rekodi kuchezwa muda mrefu
10 years ago
Mwananchi23 Feb
Hatma ya majaji escrow kuchukua muda mrefu
10 years ago
Mtanzania26 May
Lowassa Afichua kimya cha muda mrefu
Charles Mullinda na Jimmy Charles, Dodoma
HATIMAYE Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, jana alivunja ukimya wa muda mrefu alipofanya mahojiano ya ana kwa ana na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari.
Katika mkutano huo,Lowassa aliitumia nafasi hiyo kutangaza msimamo wake wa siasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Lowassa aliitumia fursa ya mahojiano hayo, yaliyofanyika nyumbani kwake eneo la Area C mjini hapa, kuwaeleza wahariri kuwa hana mpango wa kuhama CCM licha ya kuwapo...
11 years ago
Habarileo31 Dec
Walalamikia kesi za kijinsia kuchukua muda mrefu
WAZAZI Wilaya ya Kati Unguja wamesema hawaridhishwi na mwenendo wa uendeshaji wa kesi za udhalilishaji wa kijinsia, hivyo wanataka zisuluhishwe nje ya mahakama kwa kufikiwa maelewano.