MAPENZINI:Quick Rocka amekanusha kuwa na Uhusiano wa kimapenzi na Kajala
Quick Rocka amekanusha kuwa na Uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa filamu, Kajala Akizungumza na 255 ya XXL, Clouds FM, Quick amesema ana girlfriend hivyo uvumi huo unaweza ukamharibia uhusiano wake.“Nasema hapana Kajala mimi sister yangu, tunafanya naye kazi na nimeunganishwa na Lamata. Lamata ni director ninayemmfahamu zamani kidogo kipindi kile tunafanya ‘Mbwa Mwitu’ tulikuwa wote, Lamatah, Hemedy! Unajua mnavyofanya movie ni tofauti na kufanya video, kwa mfano wakati tunafanya ile...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo504 Dec
Quick Rocka akanusha kuwa na uhusiano na Kajala
9 years ago
Bongo507 Dec
Quick Rocka athibitisha kuwa na uhusiano na Kajala baada ya kukanusha kwa muda mrefu
![Kajala na Quick2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Kajala-na-Quick2-300x194.jpg)
Msanii wa Bongo fleva, Quick Rocka na muigizaji wa Bongo movie, Kajala Masanja hawakuwahi kuthibitisha wenyewe hadharani kuwa wana uhusiano wa kimapenzi licha ya kuwepo na tetesi kuwa ni wapenzi.
Quick amejikuta akilazimika kukiri hadharani juu ya uhusiano wao alipokuwa akikanusha taarifa kuwa wameachana.
Akizungumzia sababu za kuamua kutoyaweka wazi maisha ya uhusiano wao, Quick amesema;
“Sometimes some things have to stay private maana mahusiano yanapokuwa public sana ndio maneno...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0JM2umRWL9ez3XXxrpywUZ3hYExU2u1oLe2K3dZ-EZruLMoKlFWd2yONEjZMUgr*Wy*CgiSEhKzkHNpld7J0OJDVifHmvwOX/Kajalaz.jpg?width=650)
KAJALA, QUICK ROCKA PENZI ZITO
9 years ago
Bongo522 Sep
Mo Rocka adai Quick Rocka ameshindwa kuwasaidia wasanii wa Rockaz!!
10 years ago
GPL08 Aug
10 years ago
Bongo522 Sep
Johari adai hajawai kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Ray
10 years ago
Bongo Movies22 Sep
ETI! Johari adai hajawai kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Ray
Msanii mkongwe wa filamu nchini, Blandina Chagula maarufu kama Johari, ambaye ni ‘business partner’ wa msanii mwenzake, Vicent Kigosi aka Ray, amefunguka na kuzungumzia mahusiano yake na Ray pamoja na mipango yake ya kuolewa.
Akizungumza na Bongo5 leo, Johari amesema anashangazwa kuwaona watu wakivumisha kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Ray.
“Mimi na Ray cha kwanza ni mtu na swahiba wake, cha pili ni kama kaka yangu kwasababu tumekaa kwa muda mrefu sana. Tumefanya kazi kama partner...
9 years ago
GPL24 Aug
9 years ago
Bongo503 Dec
Video: Quick Rocka – Queen
![Screen-Shot-2015-12-02-at-1.34.31-PM](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Screen-Shot-2015-12-02-at-1.34.31-PM-300x194.png)
Quick Rocka ameachia video mpya ya wimbo unaitwa “Queen”, Video imeongozwa na Khalfani
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!