JOHARI: NAMSUBIRI MWANAUME WA KUNIFUNGUA KIZAZI
![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LsRpzRNYJK6CKJrZkRFzmZ*jqP1F8Uw55Sol0X-4kKZVpO7SZaMo3JAnNrJXpSq8nCiM1O3a*YFbNX22bUc1KKo/Johari.jpg?width=650)
Na Laurent Samatta PAMOJA na tetesi kuwa nguli wa filamu za Kibongo Blandina Chagula ‘Johari’, ameshindwa kushika mimba, mwenyewe ameamua kufunguka na kudai kuwa kizazi chake kinafanya kazi na anachosubiri ni kumpata mwanaume ambaye atakuwa tayari kumuoa ndipo atakaporuhusu kuzalishwa. Nguli wa filamu za Kibongo Blandina Chagula ‘Johari’. Akizungumza na Amani, Johari alisema kuwa endapo akitokea...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gDF3S0THO9zjDlLXjv8v4wrupAY8RbFGfgWp0Ws7lPRL6sFY19JaKQhQgNLaNir2C1uf2EUF3DsUucPiYAOCh2UUR0dCYB4l/johari.jpg)
JOHARI AMWANIKA MWANAUME AMTAKAYE
10 years ago
Bongo Movies19 Dec
JOHARI: Sina Matatizo Ya Kizazi, Nitazaa Nikiolewa
Mwigizaji nguli wa filamu hapa nchini, Blandina Chagula "Johari" amekanusha tetesi na uvumi kuwa anamatatizo ya kizazi na hivyo hawezi kushika ujauzito,kwa kusema kuwa kizazi chake kinafanya kazi na anachosubiri ni kumpata mwanaume ambaye atakuwa tayari kumuoa ndipo atakaporuhusu kuzalishwa.
Akizungumza na mwandishi wa GPL, Johari alisema kuwa endapo akitokea tayari yupo ndani ya ndoa anaweza kufanya hivyo lakini kwa maneno ya watu kamwe watasubiri kwani anaamini kizazi chake kipo imara...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Ndoa ya Ustazi Juma na Johari yanukia. Asema Johari atakuwa mke wake wa pili
PENZI limekolea na kinachoonekana sasa kwa Ostaz Juma Namusoma ni kukazia penzi lake kwa mwanadada Blandina Chagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo movies.
Kwa mujibu wa mtandao wa GPL zinasema kwamba Ostaz alifunga safari kwenda nchini Afrika Kusini kwa mapumziko mafupi lakini pia kumnunulia mpenzi wake huyo zawadi mbalimbali kwa lengo la kupalilia uchumba wao.
“Jamaa alikuwa Sauzi (Afika Kusini), aliondoka hapa tarehe 17 (Machi) na amerudi tarehe 21. Kamletea zawadi kibao lakini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW4xRLaFbcguw7-FkKF59wpn*H-7HMyVhW5NARrcndZdxwFfZClObKmjl-QYxwq*K8BK3kh1mL7iELqP30SPE-27/JINIKABULA.jpg?width=650)
JINI KABULA: NAMSUBIRI BUSHOKE TUFUNGE NDOA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPuf94ivEr9RAuSPvkAlJW2Orl8cWMsWjzLwZBTQJaDg7yOJ2fgnm20LSLily5nnhe0br8sC7DH2Zf5ilgkeFQJ1/johari.jpg)
JOHARI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVe8*mFnsWvgyg0qNREEuxX6btZadJZsGERD2tYHPUZg-rgvYxjMnfvLefN3kGGOphhHUm4UI3diFbiGJ*XHvCDb/JOHARI2.jpg?width=650)
MASKINI JOHARI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqrbD7gDOpBl8qJDbmDCUQp5*nSaPWizEUL9DFN-WbKcC5zIl9HiR5yNij6txG3D9ZAAlwj7Wzm5t*uQDBeFFQkh/johali2.jpg?width=612)
HATIMAYE JOHARI KUOLEWA!
10 years ago
Bongo Movies24 Apr
Johari Amkana Ray!
Staa wa Bongo Movies na mmiliki mwenza wa kampuni ya filamu nchini ya ‘RJ Company’, Blandina Chagula ‘Johari’, ameibuka na kushangaza wengi kwa kauli yake kwamba hakuwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji mwenzake, Vicent Kigosi ‘Ray’.
Staa huyo aliwahi kukiri kuwa na uhusiano huo na msanii huyo na kwamba walishaachana kwa amani, ndiyo maana waliweza kuendelea na kampuni yao ya masuala ya filamu ya Rj Company.
Juzi Johari ameliambia gazeti la Mtanzania kwamba, muda mrefu alikuwa...
10 years ago
Bongo Movies13 Jun
Ndoa ya Johari Bado!
MSANII mahiri katika filamu nchini, Blandina Chagula ‘Johari’ amesema kamwe hatarajii kuolewa na mtu maarufu, kwani ni pasua kichwa na kwake anataka mume asiye na jina kubwa.
Johari amefunguka kwa kusema, wanaume maarufu ni wasumbufu na ana uhakika mkubwa hawawezi kudumu katika ndoa kwani wana mambo mengi hivyo anaitaji mwanaume wa kawaida.
“Kwanza sihitaji mwanaume wa kunioa awe maarufu, nataka mtu wa kunijali na kunithamini na kingine awe mchapakazi kwa sababu mimi mwenyewe mtafutaji,”...