JOHARI: Sina Matatizo Ya Kizazi, Nitazaa Nikiolewa
Mwigizaji nguli wa filamu hapa nchini, Blandina Chagula "Johari" amekanusha tetesi na uvumi kuwa anamatatizo ya kizazi na hivyo hawezi kushika ujauzito,kwa kusema kuwa kizazi chake kinafanya kazi na anachosubiri ni kumpata mwanaume ambaye atakuwa tayari kumuoa ndipo atakaporuhusu kuzalishwa.
Akizungumza na mwandishi wa GPL, Johari alisema kuwa endapo akitokea tayari yupo ndani ya ndoa anaweza kufanya hivyo lakini kwa maneno ya watu kamwe watasubiri kwani anaamini kizazi chake kipo imara...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo518 Feb
Lady Jaydee: Sina mtoto wala watoto, Sijajua mpaka sasa nitazaa lini…Accept me the way I am
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LsRpzRNYJK6CKJrZkRFzmZ*jqP1F8Uw55Sol0X-4kKZVpO7SZaMo3JAnNrJXpSq8nCiM1O3a*YFbNX22bUc1KKo/Johari.jpg?width=650)
JOHARI: NAMSUBIRI MWANAUME WA KUNIFUNGUA KIZAZI
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Ndoa ya Ustazi Juma na Johari yanukia. Asema Johari atakuwa mke wake wa pili
PENZI limekolea na kinachoonekana sasa kwa Ostaz Juma Namusoma ni kukazia penzi lake kwa mwanadada Blandina Chagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo movies.
Kwa mujibu wa mtandao wa GPL zinasema kwamba Ostaz alifunga safari kwenda nchini Afrika Kusini kwa mapumziko mafupi lakini pia kumnunulia mpenzi wake huyo zawadi mbalimbali kwa lengo la kupalilia uchumba wao.
“Jamaa alikuwa Sauzi (Afika Kusini), aliondoka hapa tarehe 17 (Machi) na amerudi tarehe 21. Kamletea zawadi kibao lakini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOYdYnxDvTQ*oKYaF*ksKVwbMJnOt2nN5FD8hOt*Pl27yiVY8gFSzkei2V-vbGG099t3B8K5U799U2QUMUxYXNaF/sajent.jpg?width=650)
SAJENT: NITAZAA KIJIJI
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Lulu nitazaa bandika bandua
Mtoto mzuri katika tasnia ya sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Na Imelda Mtema
Mtoto mzuri katika tasnia ya sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameapa kuwa muda wa kuanza kuzaa ukifika, atazaa mfululizo bila kupumzika hadi lengo la idadi ya watoto anaowataka litimie.
Akizungumza na Bongo Movies ya Amani, Lulu alisema hakuna kitu anachokipenda kama watoto hivyo atakapojipanga na kuwa tayari kuzaa, itakuwa ni bandika bandua kwani anataka kuwa na watoto wengi.
“Jamani hakuna...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGjKA0QZDg*-S0GSahuxyVSI1Bm50YWbgtZIDMn9-heNUWmCik9X0RH9wRqbaGQQBXZmQv2nb0uwuw4CzQQHt8Ey/Shamsa.jpg)
SHAMSA: NITAZAA MPAKA NIAMBIWE BASI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49YnTmAZQdBJzaNXzLDH9w4eQQzYJQoQ0ybr8crXUr44WC2FI2zf*roOcX*6p8bE-xh9m94-YwEbkLqW6QUjcSwH/Shamsa.jpg)
SHAMSA: NATAMANI KUONGEZA MTOTO, LAKINI NITAZAA NA NANI?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPuf94ivEr9RAuSPvkAlJW2Orl8cWMsWjzLwZBTQJaDg7yOJ2fgnm20LSLily5nnhe0br8sC7DH2Zf5ilgkeFQJ1/johari.jpg)
JOHARI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVe8*mFnsWvgyg0qNREEuxX6btZadJZsGERD2tYHPUZg-rgvYxjMnfvLefN3kGGOphhHUm4UI3diFbiGJ*XHvCDb/JOHARI2.jpg?width=650)
MASKINI JOHARI!