SAJENT: NITAZAA KIJIJI
![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOYdYnxDvTQ*oKYaF*ksKVwbMJnOt2nN5FD8hOt*Pl27yiVY8gFSzkei2V-vbGG099t3B8K5U799U2QUMUxYXNaF/sajent.jpg?width=650)
Stori: Hamida Hassan KIMWANA Manywele 2011, Husna Maulid ‘Sajent’ amesema kuwa anapenda watoto hivyo yupo radhi kuzaa watoto wengi kupita maelezo hata kijiji kizima. Kimwana Manywele 2011, Husna Maulid ‘Sajent’. Sajent alifunguka hayo baada ya kuulizwa na safu hii kama ana mpango wa kuzaa tena tofauti na mtoto aliyezaa na Prezidaa wa Mashujaa Music Band, Charles Baba ‘Chaz Baba’....
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Lulu nitazaa bandika bandua
Mtoto mzuri katika tasnia ya sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Na Imelda Mtema
Mtoto mzuri katika tasnia ya sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameapa kuwa muda wa kuanza kuzaa ukifika, atazaa mfululizo bila kupumzika hadi lengo la idadi ya watoto anaowataka litimie.
Akizungumza na Bongo Movies ya Amani, Lulu alisema hakuna kitu anachokipenda kama watoto hivyo atakapojipanga na kuwa tayari kuzaa, itakuwa ni bandika bandua kwani anataka kuwa na watoto wengi.
“Jamani hakuna...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGjKA0QZDg*-S0GSahuxyVSI1Bm50YWbgtZIDMn9-heNUWmCik9X0RH9wRqbaGQQBXZmQv2nb0uwuw4CzQQHt8Ey/Shamsa.jpg)
SHAMSA: NITAZAA MPAKA NIAMBIWE BASI
10 years ago
Bongo Movies19 Dec
JOHARI: Sina Matatizo Ya Kizazi, Nitazaa Nikiolewa
Mwigizaji nguli wa filamu hapa nchini, Blandina Chagula "Johari" amekanusha tetesi na uvumi kuwa anamatatizo ya kizazi na hivyo hawezi kushika ujauzito,kwa kusema kuwa kizazi chake kinafanya kazi na anachosubiri ni kumpata mwanaume ambaye atakuwa tayari kumuoa ndipo atakaporuhusu kuzalishwa.
Akizungumza na mwandishi wa GPL, Johari alisema kuwa endapo akitokea tayari yupo ndani ya ndoa anaweza kufanya hivyo lakini kwa maneno ya watu kamwe watasubiri kwani anaamini kizazi chake kipo imara...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWRIU-wg2EFETeIuEMc7Tlxa-LzCt0JB*NvSWWk1FguAUrKjk5UNMgp1ObV-C4JdYEDMp7-TU4X-6ZhuOmku9--/Sajent.jpg)
MAIMARTHA AMUUMBUA SAJENT
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49YnTmAZQdBJzaNXzLDH9w4eQQzYJQoQ0ybr8crXUr44WC2FI2zf*roOcX*6p8bE-xh9m94-YwEbkLqW6QUjcSwH/Shamsa.jpg)
SHAMSA: NATAMANI KUONGEZA MTOTO, LAKINI NITAZAA NA NANI?
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6QzVEOciBno/Uyr6tv8tyaI/AAAAAAACdDE/QrPusb8lDRs/s72-c/UB+4.jpg)
KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA KIJIJI KWA KIJIJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-6QzVEOciBno/Uyr6tv8tyaI/AAAAAAACdDE/QrPusb8lDRs/s1600/UB+4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9QZDqllaCHE/Uyr6t8geP2I/AAAAAAACdDI/utbvAvqj7B4/s1600/UB+5.jpg)
9 years ago
Bongo Movies19 Nov
Sajent na Nisha Wamgombea Bwana
WAIGIZAJI wa filamu Bongo, Husna Iddi ‘Sajent’ na mwenzake Salima Jabu ‘Nisha’ wanadaiwa kuwa katika ugomvi mkubwa kumgombea msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Barakah Andrew ‘Barakah Da Prince’
Chanzo makini kilicho karibu na wasanii hao kinasema Sajenti ndiye aliyeingilia kati penzi la wawili hao baada ya ujumbe wake wa simu kukutwa katika simu ya mkali huyo wa Bongo Fleva ambaye amekuwa katika uhusiano na Nisha kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa.
“Kuna siku Nisha alifuma meseji kwenye simu ya...
11 years ago
GPLCHAZ BABA: SAJENT AMEGOMEA MWANANGU
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pezQEPsid2jl2rJ12mTNHlxUkCL5Av77LdV9b-9Pv1C7ltaU7r-Tufyxlfur41Dfp5kb*vYq9hZDwdBzYKtwc7nAu2p15WD8/sandra.jpg)
SANDRA AWATAKA AUNT, SAJENT KUNYONYESHA