SANDRA AWATAKA AUNT, SAJENT KUNYONYESHA
![](http://api.ning.com:80/files/pezQEPsid2jl2rJ12mTNHlxUkCL5Av77LdV9b-9Pv1C7ltaU7r-Tufyxlfur41Dfp5kb*vYq9hZDwdBzYKtwc7nAu2p15WD8/sandra.jpg)
Mayasa Mariwata STAA wa filamu Bongo, Salama Salmini `Sandra’ amewataka wasanii wenzake, Aunt Ezekiel na Husna Idd ‘Sajent’ kuwanyonyesha watoto wao na kuachana na imani kuwa kufanya hivyo kutawachakaza. Staa wa filamu Bongo, Salama Salmini `Sandra’. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Sandra alisema wasanii hao muda mwingi wanaonekana kwenye kampeni wakati wana watoto wachanga, hivyo aliwasihi kuhakikisha...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWRIU-wg2EFETeIuEMc7Tlxa-LzCt0JB*NvSWWk1FguAUrKjk5UNMgp1ObV-C4JdYEDMp7-TU4X-6ZhuOmku9--/Sajent.jpg)
MAIMARTHA AMUUMBUA SAJENT
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOYdYnxDvTQ*oKYaF*ksKVwbMJnOt2nN5FD8hOt*Pl27yiVY8gFSzkei2V-vbGG099t3B8K5U799U2QUMUxYXNaF/sajent.jpg?width=650)
SAJENT: NITAZAA KIJIJI
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Kunyonyesha muda mrefu ni faida?
11 years ago
BBCSwahili04 Aug
Kunyonyesha kunaokoa maisha ya watoto
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Wanawake wahimizwa kunyonyesha watoto
WANAWAKE nchini wamehamasishwa kuwanyonyesha maziwa ya mama pekee watoto wachanga katika saa moja mara baada ya kujifungua hadi miezi sita bila kuwapa kitu chochote ikiwemo maji na juisi kwa kuwa...
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Iwezekane kunyonyesha na kufanya kazi
MAADHIMISHO ya Wiki ya Unyonyeshaji yanaanza kesho yakiwa na kaulimbiu ‘unyonyeshaji na kazi, hakikisha inawezekana.’
Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, maadhimisho haya yanafanyika kitaifa mkoani Dodoma, yakilenga kuhakikisha afya ya mtoto inaboreshwa.
Kimsingi ni jukumu la mama kuhakikisha ustawi wa mtoto kwa kumpa haki yake ya kunyonya maziwa yake, tena kikamilifu.
Hili linatokana na ukweli kuwa, maziwa ya mama yana vitamini na virutubisho muhimu...
9 years ago
Bongo Movies19 Nov
Sajent na Nisha Wamgombea Bwana
WAIGIZAJI wa filamu Bongo, Husna Iddi ‘Sajent’ na mwenzake Salima Jabu ‘Nisha’ wanadaiwa kuwa katika ugomvi mkubwa kumgombea msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Barakah Andrew ‘Barakah Da Prince’
Chanzo makini kilicho karibu na wasanii hao kinasema Sajenti ndiye aliyeingilia kati penzi la wawili hao baada ya ujumbe wake wa simu kukutwa katika simu ya mkali huyo wa Bongo Fleva ambaye amekuwa katika uhusiano na Nisha kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa.
“Kuna siku Nisha alifuma meseji kwenye simu ya...
10 years ago
Habarileo01 Aug
Washauriwa kutoacha kunyonyesha sababu ya kazi
WANAWAKE waajiriwa wanaonyonyesha wameshauriwa kukamua maziwa na kuyahifadhi kwa ajili ya watoto wao, wanyweshwe wakati wakiwa kazini.
11 years ago
GPLCHAZ BABA: SAJENT AMEGOMEA MWANANGU