‘Wasioridhika na posho ya 300,000/- waondoke - Mwigulu
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaotaka nyongeza ya posho, kujiondoa katika bunge hilo kama hawaridhiki nayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Feb
Wabunge wakataa posho Sh 300,000
WAKATI mjadala wa kihistoria wa kuunda Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ukiwa katika hatua ya kupata kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, baadhi ya wajumbe wameamua kuelekeza nguvu kudai posho nono.
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Posho ya 300,000 yawezekana tuna wajumbe wagonjwa!
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba hoyeeeee! Wazee wa kukataa posho ya sh 300,000 mpooo? Nadhani mtakuwa mmeitikia hadi mkatikisa vichwa vyenu. Sipotezi muda. Mada yangu ya leo ni ‘mshiko’ wa...
11 years ago
Habarileo17 Feb
Posho Bunge la Katiba Sh 300,000 kwa siku
BUNGE Maalumu la Katiba litafunguliwa rasmi Jumatano ijayo ya Februari 26, mwaka huu likiwa na wajumbe 629 na imethibitishwa kuwa kila mjumbe atalipwa Sh 300,000 kwa siku. Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Thomas Kashillilah, aliwaambia waandishi wa habari hayo jana ndani ya ukumbi mpya wa Bunge, walipoingia kwa mara ya kwanza ndani ya ukumbi huo kuangalia mfumo wa kisasa wa sauti na mambo mengine.
10 years ago
Bongo509 Dec
Bilionea wa Nigeria amzawadia Tayo $350,000 baada ya kushindwa kuzinyakua $300,000 za BBA HotShots
9 years ago
TheCitizen25 Sep
Over 300,000 voters struck off the register
10 years ago
BBC'No aid for 300,000' in South Sudan
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Wataka posho ya Sh500,000 kwa siku
9 years ago
TheCitizen11 Sep
TZ losing 300,000 hectares of forest annually
10 years ago
Mwananchi07 Apr
Miti 300,000 kupandwa Mlima Kilimanjaro