Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wasioridhika na posho ya 300,000/- waondoke - Mwigulu

Mwigulu NchembaNAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaotaka nyongeza ya posho, kujiondoa katika bunge hilo kama hawaridhiki nayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wabunge wakataa posho Sh 300,000

Mbunge wa Sumve, Richard NdassaWAKATI mjadala wa kihistoria wa kuunda Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ukiwa katika hatua ya kupata kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, baadhi ya wajumbe wameamua kuelekeza nguvu kudai posho nono.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Posho ya 300,000 yawezekana tuna wajumbe wagonjwa!

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba hoyeeeee! Wazee wa kukataa posho ya sh 300,000 mpooo? Nadhani mtakuwa mmeitikia hadi mkatikisa vichwa vyenu. Sipotezi muda. Mada yangu ya leo ni ‘mshiko’ wa...

 

11 years ago

Habarileo

Posho Bunge la Katiba Sh 300,000 kwa siku

BUNGE Maalumu la Katiba litafunguliwa rasmi Jumatano ijayo ya Februari 26, mwaka huu likiwa na wajumbe 629 na imethibitishwa kuwa kila mjumbe atalipwa Sh 300,000 kwa siku. Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Thomas Kashillilah, aliwaambia waandishi wa habari hayo jana ndani ya ukumbi mpya wa Bunge, walipoingia kwa mara ya kwanza ndani ya ukumbi huo kuangalia mfumo wa kisasa wa sauti na mambo mengine.

 

10 years ago

Bongo5

Bilionea wa Nigeria amzawadia Tayo $350,000 baada ya kushindwa kuzinyakua $300,000 za BBA HotShots

Imeripotiwa kuwa baada ya mshiriki wa Nigeria kwenye shindano la Big Brother Afrika, Tayo kuzikosa dola laki tatu za Biggie zilizomwendea Idris wa Tanzania Jumapili iliyopita, mshiriki huyo wa Naija amezawadiwa $350,000 sawa na zaidi ya milioni 600 kutoka kwa shabiki wake bilionea. Idris (kushoto) akiwa na Tayo (kulia) Bilionea huyo aitwaye Ayiri Emami ameamua […]

 

9 years ago

TheCitizen

Over 300,000 voters struck off the register

The National Electoral Commission (NEC) announced yesterday that 23.7 million Tanzanians will be eligible to vote in next month’s General Election.They are among 24,001,134 people who were listed during the biometric voter registration  countrywide earlier this year.

 

10 years ago

BBC

'No aid for 300,000' in South Sudan

More than 300,000 people are without "life-saving" aid in South Sudan's oil-rich Unity state after heavy fighting forces aid agencies to withdraw, the UN says.

 

10 years ago

Mwananchi

Wataka posho ya Sh500,000 kwa siku

Mzimu wa posho umeibuka upya katika Bunge la Katiba, safari hii wajumbe wake wa Kamati ya Uandishi wakiomba walipwe posho maalumu ya Sh500,000 kwa siku kutokana na kazi ya kuandika Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.

 

9 years ago

TheCitizen

TZ losing 300,000 hectares of forest annually

Dar es Salaam. A report by Finish-funded National Forest Resources Monitoring and Assessment group (Naforma), shows that Tanzania is losing more than 300,000 hectares of forest annually.

 

10 years ago

Mwananchi

Miti 300,000 kupandwa Mlima Kilimanjaro

Shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na utunzaji wa mazingira mkoani Kilimanjaro (Teaca) limelenga kupanda miti zaidi ya 300,000 katika maeneo yanayozunguka mlima Kilimanjaro, lengo likiwa ni kurudisha uoto wa asili uliopotea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani