Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Posho ya 300,000 yawezekana tuna wajumbe wagonjwa!

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba hoyeeeee! Wazee wa kukataa posho ya sh 300,000 mpooo? Nadhani mtakuwa mmeitikia hadi mkatikisa vichwa vyenu. Sipotezi muda. Mada yangu ya leo ni ‘mshiko’ wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wabunge wakataa posho Sh 300,000

Mbunge wa Sumve, Richard NdassaWAKATI mjadala wa kihistoria wa kuunda Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ukiwa katika hatua ya kupata kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, baadhi ya wajumbe wameamua kuelekeza nguvu kudai posho nono.

 

11 years ago

Habarileo

‘Wasioridhika na posho ya 300,000/- waondoke - Mwigulu

Mwigulu NchembaNAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaotaka nyongeza ya posho, kujiondoa katika bunge hilo kama hawaridhiki nayo.

 

11 years ago

Habarileo

Posho Bunge la Katiba Sh 300,000 kwa siku

BUNGE Maalumu la Katiba litafunguliwa rasmi Jumatano ijayo ya Februari 26, mwaka huu likiwa na wajumbe 629 na imethibitishwa kuwa kila mjumbe atalipwa Sh 300,000 kwa siku. Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Thomas Kashillilah, aliwaambia waandishi wa habari hayo jana ndani ya ukumbi mpya wa Bunge, walipoingia kwa mara ya kwanza ndani ya ukumbi huo kuangalia mfumo wa kisasa wa sauti na mambo mengine.

 

10 years ago

Bongo5

Bilionea wa Nigeria amzawadia Tayo $350,000 baada ya kushindwa kuzinyakua $300,000 za BBA HotShots

Imeripotiwa kuwa baada ya mshiriki wa Nigeria kwenye shindano la Big Brother Afrika, Tayo kuzikosa dola laki tatu za Biggie zilizomwendea Idris wa Tanzania Jumapili iliyopita, mshiriki huyo wa Naija amezawadiwa $350,000 sawa na zaidi ya milioni 600 kutoka kwa shabiki wake bilionea. Idris (kushoto) akiwa na Tayo (kulia) Bilionea huyo aitwaye Ayiri Emami ameamua […]

 

11 years ago

Mwananchi

Wamshauri JK kusitisha posho za wajumbe

Vijana wa Kijiji cha Kitelela katika Manispaa ya Dodoma, wamemwomba Rais Jakaya Kikwete kusitisha kwa muda, malipo ya posho kwa wajumbe wa Bunge la Katiba kwa madai kuwa wako nyuma ya ratiba.

 

5 years ago

Michuzi

WAJUMBE KAMATI YA WAWAKILISHI CCM ZANZIBAR WATENGA MILIONI 33,000,000/- ZITAKAZOTUMIKA UTENGENEZAJI WA BARAKOA NA KUSAMBAZWA KWA WANANCHI

 Mfanyabiashara Mohamed Ibrahim Raza akionyesha Uzalendo wake wa kukubali kusaidia mchango wowote utaohitajika na Serikali katika Ustawi wa Jamii Nchini. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Kulia akionyeshwa moja ya aina ya vitakasa mikono vilivyotolewa na Mfanyabiashara Mzalendo Nchini Mohamed Ibrahim Raza {Raza Lee} kusaidia mapambano dhidi ya kuangamiza Virusi vya Corona Nchini.Kati kati yao ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar...

 

11 years ago

Mwananchi

Posho za wajumbe kupoza waathirika wa mafuriko

Kamati ya Uongozi ya Bunge Maalumu la Katiba imepitisha utaratibu ambao kila mjumbe atachangia posho ya siku moja kwa ajili ya kuchangia wahanga wa mafuriko.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aibu wajumbe Bunge la Katiba kulalamikia posho

MIJADALA ya siku mbili tu tangu Bunge Maalumu la Katiba lilipoanza kikao chake mjini Dodoma, inatia shaka kama kweli wawakilishi hao walioteuliwa na rais watatimiza lengo ambalo Watanzania wanalitarajia la...

 

11 years ago

Mwananchi

Kisumo akerwa wajumbe ‘kulilia’ posho kubwa

>Mwanasiasa mkongwe nchini, Peter Kisumo, amesema anawasikitikia Watanzania kutokana na hatua ya baadhi ya viongozi waliowamini na kuwapa uongozi kutafunwa na kirusi cha posho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani