Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndesamburo ilivyotumia Sh1b kutoa ajira kwa vijana 1,000

Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo, anaweza kuingia katika vitabu vya kumbukumbu kutokana na staili yake ya kuuaga uwanja wa kisiasa kwa kutazama tatizo la ajira kwa vijana, ambalo ni tatizo sugu na limekuwa likizungumziwa kisiasa kama bomu linalosubiri kulipuka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ORIFLAME TANZANIA YATOA AJIRA KWA VIJANA 60,000 NCHINI- YATANGAZA BIDHAA ZAKE MPYA

 Mkurugenzi Mwandamizi wa Kampuni hiyo, Japhet Naftal (kulia), akiwapigisha makofi wanachama wa Oriflame baada ya kuzungumza nao katika hafla hiyo ya kutangaza bidhaa mpya za Kampuni hiyo iliyofanyika katika ofisi zao Dar es Salaam leo jioni zilizopo Posta Mpya ghorofa la Benjamin William Mkapa Towers Mezzanine Floor..  Meneja Mkazi wa… ...

 

10 years ago

Habarileo

Ujenzi wa reli kutoa ajira 300,000

Waziri wa Uchukuzi, Samuel SittaWAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema Sh trilioni 14 zinatarajiwa kujenga reli mpya yenye urefu wa kilometa 2,561 ambayo itakuwa na kiwango cha ‘standardgauge’, mradi ambao utakuwa ni mkubwa kutekelezwa na Serikali tangu ilipopata Uhuru.

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WAFURIKA BANDA LA TBL MAONESHO YA AJIRA KWA VIJANA DAR

 Vijana kutoka vyuo mbalimbali wakiwa katika semina ya jinsi ya kutafuta ajira kwenye taasisi mbalimbali wakati wa Maonesho ya Ajira kwa Vijana, kwenye Ukumbi wa Don Bosco, Upanga, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu wakijaza kwenye fomu za kutafuta ajira katika Banda la Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakati wa Maonesho ya vijana wa vyuo ya kupata fursa ya ajira katika taasisi mbalimbali  (Careers Fair 2014) katika Ukumbi wa Don Bosco, Upanga, Dar es Salaam....

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti:Ajira kwa vijana

Repoti ya Salma Said:

The post Sauti:Ajira kwa vijana appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Tanzania Daima

YDF inavyotengeneza ajira kwa vijana

TAKWIMU zinaonyesha kuna jumla ya vijana milioni 16,195,370 ambapo takribani vijana milioni 1.2  humaliza elimu ya vyuo mbalimbali kila mwaka na kati yao vijana 200,000 huajiriwa kwa mwaka.  Ikumbukwe kuwa...

 

9 years ago

Habarileo

Samia aahidi ajira kwa 40% ya vijana

MGOMBEA mwenza wa urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassan, amesema katika ilani ya CCM ya awamu ya serikali ya tano, wameahidi kutoa ajira kwa asilimia 40 ya vijana ambazo zitatokana na viwanda, vikubwa na vidogo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kilimo ajira kwa vijana Kenya

Vijana nchini Kenya wanabugia kilimo na kuifanya kuwa mojawapo ya njia za kuwapa ajira

 

9 years ago

Mwananchi

Makonda atoa saa 48 kwa mwekezaji kutoa mikataba ya ajira

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ametoa siku mbili kwa mmiliki wa Kiwanda cha kukarabati magari cha Sringcity Enterprises kuwapa wafanyakazi wao mikataba ya ajira ama sivyo atakifungia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani