Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LULU AMGANDA VAN VICKER

Mwandishi Wetu
Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ anadaiwa kumganda mwigizaji kipenzi wa akina dada wa Ghollywood Movies kutoka nchini Ghana, Van Vicker, Risasi Jumamosi limenyetishiwa. Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa na mwigizaji kipenzi wa akina dada wa Ghollywood Movies kutoka nchini Ghana, Van Vicker. Habari kutoka chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu wa Lulu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Van Vicker Amkumbuka Lulu!!

Jana ilikuwa ni siku ya “Kurusha Nyuma”  yani ThrowBackThrusday (TBT) ambako kwenye mtandao wa INSTAGRAM watu huweka picha za matukio yao ya zamani.

Sasa muongozaji na muigizaji maarufu wa filamu wa nchini Ghana, Van Vicker ambae Alisha kuja hapa nchini na kufanya kazi na baaadhi ya waigizaji wa hapa Bongo, alitupia picha hii akiwa na mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ na kuandika kuwa hiyo ndio TBT  post yake ya kwanza maishani na kuwa tag baadhi ya jamaa zake wa hapa bongo , wakiwemo...

 

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE AMGANDA MAMA LULU KIFUANI

Na Gabriel Ng’osha/Ijumaa
Aliye kuwa Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Nyerere hivi karibuni aliibua miguno baada ya kumganda kifuani mama wa msanii Elizabeth Michael, Lucresia Karugila huku akionekana kutotaka kubanduka mwilini mwa mama huyo. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Nyerere akimbambia mama wa msanii Elizabeth Michael, Lucresia Karugila. Tukio hilo lililowafanya watu wabaki wakiwa wamepigwa butwaa,...

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO:Steve Nyerere Amganda Mama Lulu Kifuani!!

Aliye kuwa Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Nyerere hivi karibuni aliibua miguno baada ya kumganda kifuani mama wa msanii Elizabeth Michael, Lucresia Karugila huku akionekana kutotaka kubanduka mwilini mwa mama huyo.

Tukio hilo lililowafanya watu wabaki wakiwa wamepigwa butwaa, lilijiri ndani ya Hoteli ya Landmark jijini Dar kulikokuwa na uzinduzi wa kitabu cha Marehemu Steven Kanumba kiitwacho The Great Follen Tree.

Awali, waalikwa kwenye sherehe hiyo waliinuka na kwenda kucheza wimbo wa...

 

9 years ago

GPL

VAN VICKER KUMFANYIA SAPRAIZI WEMA


Wema Sepetu ‘Madam’, akiwa na muigizaji wa Ghana, Van Vicker. Stori:melda Mtema ZIKIWA zimesalia wiki kadhaa kabla ya kufanyika kwa sherehe ya bethidei ya muigizaji Wema Sepetu ‘Madam’, muigizaji wa Ghana, Van Vicker amesema amemuandalia zawadi ya ‘sapraizi’ mrembo huyo katika sherehe yake hiyo muhimu.
Akifunguka hayo kupitia katika akaunti yake ya Instagram, Van alimtakia Wema heri ya siku yake ya kuzaliwa kisha...

 

10 years ago

CloudsFM

WEMA AFANYA MOVIE NA VAN VICKER

Staa wa Bongo Movie,Wema Sepetu amesafiri kuelekea nchini Ghana kufanya filamu na mkali wa filamu nchini humo,Van Vicker filamu inaitwa Day After Death.Kupitia Instagram Van Vicker aliandika....Watch out for #DayAfterDeath (D.A.D) starring @wemasepetu and myself..#DirectorMode tanzania and ghana goin on the map for this award winning thriller.

 

10 years ago

Mwananchi

Van Vicker, Wema Sepetu wakutana

Kama ulibahatika kuona picha katika mitandao ya kijamii ikimwonyesha Miss Tanzania 2006 ambaye pia ni mwigizaji, Wema Sepetu akiwa na nyota wa filamu kutoka Ghana, Van Vicker wawili hao wapo katika matayarisho ya filamu mpya imedhibitishwa.

 

10 years ago

Bongo Movies

WEMA:Van Vicker Alichangia Niachane na Diamond

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Wema Sepetu amefunguka na kudai kuwa mwigizaji Van Vicker wa Ghana, alichania kwa kiasi flani, kupelekea aachane na aliekuwa mpenzi wake, Diamond.

Kwamujibu wa GPL,akizungumzia sababu za kumwagana na Diamond, alisema pamoja na sababu nyingine, Van Vicker alihusika kuwafanya wamwagane na mpenzi wake huyo waliyedumu kwenye penzi zito lililokuwa gumzo kila kona ya Bongo.

“Kuna vitu vingi vimechangia lakini Van pia amechangia, alianza ku-like picha zangu,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baadhi ya picha za D.A.D, Wema na Van Vicker Mzigoni

Hizi ni baadhi ya picha za ndani ya movie mpya ya mwigizaji Wema Sepetu “Madam”akishirikiana na wigizaji wa Ghana, Van Vicker inayoitwa Day After Death (D.A.D).

Madam ametua leo hapa Bongo akitokea nchini Ghana ambako kazi hii imefanyika kule.

Tusubiri mzigo wenyewe!!!.

 

10 years ago

Mwananchi

Van Vicker:Mtangazaji anayefunika kwenye filamu

Unapozungumzia wacheza filamu mahiri barani Afrika lazima Van Vicker atakuwa miongoni mwa mastaa watakaokuwapo kwenye orodha hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani