Stars yang’ara, mbinu zaiangusha
Taifa Stars ya Tanzania jana ilipata pointi ya kwanza kwenye safari ya kuelekea fainali za Afrika mwaka 2017 nchini Gabon baada ya sare ya 0-0 dhidi ya Super Eagles ya Nigeria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV08 Oct
Taifa Stars yang’ara yailaza Malawi 2-0.
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars imeanza vema mechi ya awali ya kuwania kufuzu kucheza fainali za kombe la dunia 2018 nchini Urussi baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu ya tifa ya Malawi The Flames na kuwapa furaha watanzania kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar Es Salaam.
Katika mchezo huo uliokuwa mgumu kwa pande zote Malawi walianza kwa kuibana Stars kunako dakika 15 za mwanzo kwa mashambulizi mengi , kabla ya wenyeji kuzinduka na kuanza kutawala mchezo huo na...
11 years ago
Habarileo16 Jan
Tanzania yang’ara mpango wa UN
TANZANIA imetajwa kufanya vizuri zaidi kuliko nchi nane, zilizokuwa zikishiriki katika Mpango wa Majaribio wa Kuwezesha mfumo wa Umoja wa Mataifa(UN) kufanya kazi kwa pamoja. Mpango huo sasa umepanuliwa kushirikisha nchi nyingi zaidi baada ya kuonesha faida kubwa.
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
CCM yang’ara Chalinze
MGOMBEA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete, anaelekea kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa ubunge wa Chalinze, uliofanyika jana. Uchaguzi huo ulifanyika baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge wa...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Tanzania yang’ara kuogelea
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-g_x8RKOm8_0/VCgt-20OLPI/AAAAAAAGmVE/fkmDwSzao6w/s72-c/01.jpg)
Ikulu yang’ara SHIMIWI Morogoro
![](http://3.bp.blogspot.com/-g_x8RKOm8_0/VCgt-20OLPI/AAAAAAAGmVE/fkmDwSzao6w/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yXemrCfgqPw/VCguAjYXI5I/AAAAAAAGmVM/6FC_PEBNm4E/s1600/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4cXpi0GXFRY/VCguAr1JXII/AAAAAAAGmVQ/4-tX-AK3QiI/s1600/03.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
‘Shoe Shine’ yang’ara kimataifa
SINEMA ya ‘Shoe Shine’ iliyofyatuliwa mwaka 2013 ikitengenezwa na kuongozwa na Amil Shivji, imeitangaza vema nchi katika tamasha la kimataifa la filamu (Festicab), ililofanyika Burundi kuanzia Juni 13-20. ‘Shoe Shine’...
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
TBL yang’ara tuzo za rais
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imekuwa mshindi wa tuzo mbili za rais zilizoandaliwa na Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI). Hafla ya kukabidhi tuzo hizo ilifanyika Dar es Salaam mwishoni mwa...
9 years ago
Mwananchi29 Aug
Kenya yang’ara , yaaibika China
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Ubelgiji yang’ara, Brazil yashikwa