Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Five Yanga stars on the way out

>Five top Young Africans players are free to leave the dethroned champions following the expiry of their contracts.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MBINU: Yanga yaivamia Stars

Dar es Salaam. Mbinu za kiufundi za klabu ya Yanga zilizoipa ubingwa wa Ligi Kuu,  sasa zimehamishiwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa, ‘Taifa Stars’ inayojiandaa kuikabili Uganda Cranes, Jumamosi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga kuongeza wa Stars Kagame

NYOTA sita wa klabu ya Yanga waliotua nchini jana wakiwa na kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, watajumuishwa katika safari ya kwenda Kigali, Rwanda kushiriki michuano ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yazuia nyota wake Stars

Klabu ya Yanga imewazuia wachezaji wake watatu kujiunga na kambi ya timu ya Taifa, Taifa Stars, hadi pale watakapomaliza mechi yao ya leo dhidi ya Thika United ya Kenya.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Yanga stars warned over complacency

>Young Africans (Yanga) head coach Marcio Maximo has warned his players over complacency, a day after tasting the first Vodacom Premier League victory.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yainyima Stars nyota saba

 Huku homa ya mchezo wa watani wa jadi ikipanda, Yanga imewazuia nyota wake saba kujiunga na kambi ya Taifa Stars inayojiandaa na mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Benin utakaofanyika Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

YANGA YAMGOMEA KOCHA WAKE KUINOA STARS

Kocha msaidi wa klabu ya Yanga Charles Boniface Mkwassa. Na Phillip Nkini KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imewekewa ngumu na Klabu ya Yanga, baada ya Wanajangwani hao kumgomea kocha wao kuifundisha Taifa Stars. Juzi kamati hiyo ilimtimua aliyekuwa Kocha Mkuu wa Stars, Mart Nooij, baada ya kulala kwa mabao 3-0 kutoka kwa timu ya taifa ya Uganda kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Afrika kwa Wachezaji wa Ndani...

 

9 years ago

Mwananchi

CHALENJI: Kili Stars yang’ara, Z’bar chali

Wakati Kilimanjaro Stars imefuzu kucheza robo fainali ya mashindano ya Chalenji baada ya jana kuichapa Rwanda mabao 2-1, ndugu zao Zanzibar Heroes wakinyukwa mabao 4-0 na Uganda na kujiweka njiapanda.

 

10 years ago

Dewji Blog

Baadhi ya vigogo Simba, Yanga watajwa Kuihujumu Taifa Stars

taifa-stars-640x360

Kikosi cha Taifa stars.

Na Mwandishi wetu

SIRI za kushindwa kwa timu ya soka ya taifa kufuzu katika michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON).

Siri hiyo ya kukwama kwa timu ya taifa kwenye michuano ya (AFCON), inadaiwa kutokana na   hujuma zilizofanywa na kundi la watu wachache kwa lengo la kumwonesha Rais wa TFF, Jamal Malinzi hawezi kuongoza shirikisho hilo na kuipa mafanikio Stars.

Wahujumu hao wa soka nchini, wanadaiwa kutoka katika vilabu vikubwa vya soka nchini ambao kwa sasa majina yao...

 

9 years ago

StarTV

Taifa Stars yaanza mazoezi bila wachezaji wa Yanga, Azamfc.

KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kimeanza mazoezi katika uwanja wa Karume kujiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2017 nchini Gabon.
Wachezaji wa Taifa Stars chini ya kocha wake mkuu Charles Mkwasa watakua wakijifua mara mbili kwa siku asubuhi na jioni katika uwanja wa Karume katika kujiweka fit na maandalizi ya mchezo huo.
Kufuatia baadhi ya wachezaji kuwa na majukumu na timu zao kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Hisani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani