Grace: msomi aliyejitosa kuwapa wahitimu maarifa, mbinu za ajira
Ongezeko la vyuo vikuu nchini, limesababisha pia kukua kwa idadi ya Watanzania hasa vijana wanaopata elimu ya juu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xs2Chgk137I/XlFzjv8RaUI/AAAAAAALe2Q/DdW0HBephDsPsr1jYg5ssU4xKG2XsxnqwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200222-WA0160.jpg)
Njombe:CCM yazidi kuwapa mbinu za ushindi viongozi wa uenezi
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xs2Chgk137I/XlFzjv8RaUI/AAAAAAALe2Q/DdW0HBephDsPsr1jYg5ssU4xKG2XsxnqwCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200222-WA0160.jpg)
Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Njombe kimewaelekeza makatibu wa siasa na uenezi ngazi ya kata na wilaya zote mkoani humo, kuhakikisha wanaieleza jamii shughuli za maendeleo zinazoendelea kwenye maeneo yao ikiwa na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya chama.
Wito huo umetolewa na katibu wa siasa na uenezi wa chama cha Mapinduzi mkoa wa Njombe Ndg, Erasto Ngole alipokuyana na viongozi hao katika ofisi za chama wilaya ya Njombe,kupitia ziara ya kikazi anayoifanya...
10 years ago
Habarileo29 Dec
Wahitimu wa JKT wasotea ajira
UMOJA wa Askari wa Jeshi la Kujenga Taifa Tanzania (JKT), waliomaliza mikataba yao ya miaka miwili ya mafunzo ya kujitolea na kurejea makwao tangu mwaka 2000, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuwasaidia wapate ajira za kudumu, ili mafunzo waliyopata wayatumie kujenga nchi.
11 years ago
Habarileo12 Dec
JWTZ kuwapatia ajira wahitimu JKT
WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa inaandaa mchakato wa kuwafuatilia na kuwapatia ajira mbalimbali na mafunzo ya kujiendeleza vijana wote waliopata mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), ili wasijiingize katika vitendo vya uhalifu.
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Wahitimu wa chuo cha Must wapigiwa debe la ajira
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Ugumu wa kupata ajira kwa wahitimu wa Kitanzania
9 years ago
MichuziSerikali yawahakikishia ajira wahitimu sekta ya maji
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Sababu za wahitimu wa Tanzania kufanya vibaya katika ajira
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Wahitimu chuo cha ufundi kwa walemavu wakosa ajira
WAHITIMU wa Chuo cha Ufundi cha watu wenye ulemavu Yombo wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kukosa ajira kutokana na mtazamo potofu wa jamii. Hayo yalibainishwa juzi jijini Dar es Salaam...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uErcoZ1KdnJKj6GYQvxxOszZzXbZARbmjXLHH3*Zg-BF3tE6xMt8MM3VOD-Hp03NmsUgpeyqJeJ-jcg5M4ALyMbpBeGW5PII/images.jpg)
AJIRA: UTARATIBU WA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI WAHITIMU KIDATO CHA SITA 2014