Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Grace: msomi aliyejitosa kuwapa wahitimu maarifa, mbinu za ajira

Ongezeko la vyuo vikuu nchini, limesababisha pia kukua kwa idadi ya Watanzania hasa vijana wanaopata elimu ya juu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Njombe:CCM yazidi kuwapa mbinu za ushindi viongozi wa uenezi

Na Amiri kilagalila,Njombe

Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Njombe kimewaelekeza makatibu wa siasa na uenezi ngazi ya kata na wilaya zote mkoani humo, kuhakikisha wanaieleza jamii shughuli za maendeleo zinazoendelea kwenye maeneo yao ikiwa na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya chama.

Wito huo umetolewa na katibu wa siasa na uenezi wa chama cha Mapinduzi mkoa wa Njombe Ndg, Erasto Ngole alipokuyana na viongozi hao katika ofisi za chama wilaya ya Njombe,kupitia ziara ya kikazi anayoifanya...

 

10 years ago

Habarileo

Wahitimu wa JKT wasotea ajira

Rais Jakaya KikweteUMOJA wa Askari wa Jeshi la Kujenga Taifa Tanzania (JKT), waliomaliza mikataba yao ya miaka miwili ya mafunzo ya kujitolea na kurejea makwao tangu mwaka 2000, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuwasaidia wapate ajira za kudumu, ili mafunzo waliyopata wayatumie kujenga nchi.

 

11 years ago

Habarileo

JWTZ kuwapatia ajira wahitimu JKT

WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa inaandaa mchakato wa kuwafuatilia na kuwapatia ajira mbalimbali na mafunzo ya kujiendeleza vijana wote waliopata mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), ili wasijiingize katika vitendo vya uhalifu.

 

10 years ago

Mwananchi

Wahitimu wa chuo cha Must wapigiwa debe la ajira

Wamiliki wa viwanda na kampuni nchini wameshauriwa kuwasiliana na Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (Must) kama wanahitaji mafundi mchundo na wahandisi ili waweze kuwapata vijana wenye elimu sahihi.

 

10 years ago

Mwananchi

Ugumu wa kupata ajira kwa wahitimu wa Kitanzania

Huenda tukio hili likawa la aina yake nchini na hata kubaki katika kumbukumbu za watu wengi kwa sasa na miaka ijayo. Hili ni tukio la wahitimu zaidi ya 10,000 kuitwa katika usaili wa kazi wakigombea nafasi 70 zilizotangazwa na Idara ya Uhamiaji.

 

9 years ago

Michuzi

Serikali yawahakikishia ajira wahitimu sekta ya maji

Serikali imesema kuwa ina taarifa ya wahitimu wa Taasisi ya Maendeleo ya Maji (WDMI),kukosa nafasi za ajira hivyo suala hilo limefanyiwakazi na serikali kwa kushirikiana na wadau wengine wa maji hivyo wawe na uhakika wa kuajiriwa na wasibweteke wakipata hizo fursa kwani hakutakuwa na nafasi kwa wazembe au wasiowajibika. Akizungumza wakati wa mahafali ya saba ya taasisi hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi, Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mbogo Mfutakamba alisema ukosefu wa ajira kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Sababu za wahitimu wa Tanzania kufanya vibaya katika ajira

Mwaka 1970 wakati wa hafla ya kusherehekea miaka 10 ya kuanzishwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mwalimu Julius Nyerere, alibainisha kazi kuu tatu za chuo k ikuu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wahitimu chuo cha ufundi kwa walemavu wakosa ajira

WAHITIMU wa Chuo cha Ufundi cha watu wenye ulemavu Yombo wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kukosa ajira kutokana na mtazamo potofu wa jamii. Hayo yalibainishwa juzi jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

GPL

AJIRA: UTARATIBU WA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI WAHITIMU KIDATO CHA SITA 2014

KAOHSIUNG NA JESHI LA POLISI KWA WAHITIMU WATARAJIWA WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 Katika mwaka wa fedha 2014/2015 Jeshi la Polisi linatarajia kuajiri wahitimu wa kidato cha sita mwaka 2014 na kidato cha nne mwaka 2013. Ili kutekeleza azma hii tumeweka fomu kwenye tovuti ambayo wahitimu watarajiwa wa kidato cha sita wa mwaka 2014 watajaza kabla ya kufanya mitihani yao ya kumaliza kidato cha sita. Baada ya kujazwa kikamilifu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani