Sababu za wahitimu wa Tanzania kufanya vibaya katika ajira
Mwaka 1970 wakati wa hafla ya kusherehekea miaka 10 ya kuanzishwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mwalimu Julius Nyerere, alibainisha kazi kuu tatu za chuo k ikuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo29 Dec
Wahitimu wa JKT wasotea ajira
UMOJA wa Askari wa Jeshi la Kujenga Taifa Tanzania (JKT), waliomaliza mikataba yao ya miaka miwili ya mafunzo ya kujitolea na kurejea makwao tangu mwaka 2000, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuwasaidia wapate ajira za kudumu, ili mafunzo waliyopata wayatumie kujenga nchi.
11 years ago
Habarileo12 Dec
JWTZ kuwapatia ajira wahitimu JKT
WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa inaandaa mchakato wa kuwafuatilia na kuwapatia ajira mbalimbali na mafunzo ya kujiendeleza vijana wote waliopata mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), ili wasijiingize katika vitendo vya uhalifu.
9 years ago
MichuziSerikali yawahakikishia ajira wahitimu sekta ya maji
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Ugumu wa kupata ajira kwa wahitimu wa Kitanzania
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Wahitimu wa chuo cha Must wapigiwa debe la ajira
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-u0GWnmM0TzE/Vfmq81TsqXI/AAAAAAAH5Ys/8uEEdQ1PAJQ/s72-c/us.png)
Wafanyakazi wa Kujitolea wa Kimarekani kufanya kazi katika sekta ya elimu katika wilaya 31 nchini Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-u0GWnmM0TzE/Vfmq81TsqXI/AAAAAAAH5Ys/8uEEdQ1PAJQ/s1600/us.png)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YPIYknIVYsg/VdhBFxc-vxI/AAAAAAAHzFg/VfMQMnfgi6U/s72-c/kk.jpg)
Wasichana walio katika mazingira magumu wahitimu Chuo Kukuu Huria cha Tanzania
9 years ago
Dewji Blog22 Aug
Wasichana 22 waliokuwa katika mazingira magumu wahitimu Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Dkt. Pindi H. Chana (Mb)akimpongeza Bi. Jane Malyi kiongozi wa wahitimu wa mafunzo ya ujasiriamali na urembo mara baada ya kutoa neno fupi kwa niaba ya wahitimu wa mafunzo hayo katika chuo Kikuu Huria cha Tanzania, jijini Dar es salaam
Na erasto Ching’oro
Wasichana 22 kutoka mazingira hatarishi wamehitimu mafunzo ya ujasiriamali, mawasiliano, ususi wa nywele na urembo katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es...
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Wahitimu chuo cha ufundi kwa walemavu wakosa ajira
WAHITIMU wa Chuo cha Ufundi cha watu wenye ulemavu Yombo wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kukosa ajira kutokana na mtazamo potofu wa jamii. Hayo yalibainishwa juzi jijini Dar es Salaam...