Njau: Itikadi za Siasa zisiwatenganishe
Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa wilaya ya Ikungi Jonathani Njau, akishikilia shilingi 1.5 milioni ambazo alichangia kwaya ya Agape ya kanisa la KKKT wilaya ya Ikungi.Katika harambee hiyo jumla ya zaidi ya shilingi 4.3 milioni zilikusanywa.
Na Nathaniel Limu
Mjumbe wa kamati kuu CCM (NEC) taifa wilaya ya Ikungi,Jonathan Njau amewaasa waumini wa madhehebu mbalimbali ya dini wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, kutokubali kugawanywa na imani zao za kiitikadi za kisiasa, bali...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Mchungaji: Tusichague viongozi kwa itikadi za siasa
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
KANISA la Babtist Tanzania limesema katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu Watanzania wanatakiwa kuchagua kiongozi mwenye uwezo wa kuwatumikia wananchi bila kuangalia itikadi, kabila wala dini yake.
Kauli hiyo ilitolewa na Mwangalizi Mkuu wa Makanisa ya Babtist Tanzania, Mchungaji Anord Manase, wakati alipofungua kongamano la wanawake wa Kibabtisti nchini lililofanyika Chuo Kikuu cha Mount Meru wilayani Arumeru mkoani hapa.
Akizungumza katika...
9 years ago
StarTV06 Jan
Katibu wa Itikadi, Siasa, Uenezi Uyui akanusha Madai Ya Mbunge Kufungiwa
Katibu wa Itikadi, Siasa na uenezi wilaya ya Uyui mkoani Tabora Said Katalla amekanusha uvumi unaoenezwa kuwa Mbunge wa Chama cha Mapindizi jimbo la Tabora Kaskazini Almas Maige amefungiwa Ubunge kwa muda wa miezi sita.
Uvumi huo umeeleza kuwa Almas Maige amefungiwa ubunge kutokana na kukutwa na kashfa ya sakata la makontena 349 yaliyobainiwa na Waziri mkuu Kassim Majaliwa kuingizwa nchini kinyemela katika bandari ya Dar es Salaam bila kulipiwa kodi.
Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Uyui...
11 years ago
Michuzi05 Feb
A CANDID INTERVIEW WITH SPORAH NJAU
![SporahTop](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2014/02/SporahTop.jpg)
To a large extent, and for all the right reasons, we all have dreams and aspirations. We are constantly encouraged to dare, dream big and seize any great opportunity that jot in our lives. Dreaming and acting on our dreams or opportunities is only sure way for the complete circle of manifestation. A few years ago, a young lady from Northern Tanzania, a student/ immigrant in the United Kingdom, saw an opportunity and decided it was time to manifest her passion that was hidden...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/SKkNoVsgMrE/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Brigedia Jenerali Njau awafunda wahitimu JKT
11 years ago
GPL![](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2014/02/SporahTop.jpg)
A CANDID INTERVIEW WITH SPORAH NJAU (FOUNDER AND HOST OF THE SPORAH SHOW)
10 years ago
Vijimambo02 Dec
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Itikadi zitafifisha katiba mpya
JUZI Rais Jakaya Kikwete, alitangaza majina 201 ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba linalotarajia kuanza vikao vyake Februari 18 mkoani Dodoma. Bunge hilo litajumuisha wabunge wote 357 wa Bunge...
10 years ago
Habarileo17 Aug
Makatibu wa Itikadi, Uenezi CCM wafundwa
MAKATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Kata za Chama Cha Mapinduzi (CCM) wametakiwa kuwatumia marafiki zao waliopo katika vyama pinzani ili kuhakikisha hali ya kisiasa inaendelea kuimarika.