MBOWE AMJULIA HALI MBUNGE ROSE KAMILI
![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA*6TADaQ114ecX8nzYBI6-mPz14Ko84nTU57ncOSz4k-pvQKdCG41hYgzlee8dcfdAAL2HfWDFgNOVnRb1i*z6q/mbowe.jpg?width=650)
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Freeman Mbowe akimjulia hali Mbunge wa viti Maalum Mkoa wa Manyara kupitia chama hicho, Mhe. Rose Kamili, alipomtembelea hospitalini. Mbunge huyo anadaiwa kujeruhiwa baada ya kukamatwa kwa tuhuma za kukutwa akigawa fedha kwa wanakijiji wa Kitayawa kata ya Luhota, Iringa Vijijini jana.
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU AMJULIA HALI MBOWE
Waziri Mkuu amemuombea kiongozi huyo uponyaji wa haraka wa majeraha aliyoyapata baada ya kuvamiwa na watu ambao bado hawajajulikana wakati akiingia nyumbani kwake jijini Dodoma usiku wa kuamkia leo Juni 9, 2020.
“Nimepokea kwa...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU AMJULIA HALI FREEMAN MBOWE
Waziri Mkuu amemuombea kiongozi huyo uponyaji wa haraka wa majeraha aliyoyapata baada ya kuvamiwa na watu ambao bado hawajajulikana wakati akiingia nyumbani kwake jijini Dodoma usiku wa kuamkia leo Juni 9, 2020.
“Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za tukio la kuvamiwa kwa Mheshimiwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sCt50ITUTjA/Xt9ntAlMMDI/AAAAAAAC7Ik/ipsFHdMebxA_G_L1gl-J7lMAUWudrpW5QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA JOB NDUGAI AMJULIA HALI MBOWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-sCt50ITUTjA/Xt9ntAlMMDI/AAAAAAAC7Ik/ipsFHdMebxA_G_L1gl-J7lMAUWudrpW5QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IpZNc-J_yL0/VLpn1DMqYvI/AAAAAAAG9_k/CNynUnI-RVc/s72-c/unnamed.jpg)
MH. PINDA AMJULIA HALI MBUNGE VITA KAWAWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-IpZNc-J_yL0/VLpn1DMqYvI/AAAAAAAG9_k/CNynUnI-RVc/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-m2cqkF16GOE/VLpn1EFxVfI/AAAAAAAG9_g/Jarg4RCqZvw/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
9 years ago
VijimamboMKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
Kwa nini Rose Kamili si kamili
MALUMBANO ya kisiasa nchini yanazidi kupamba moto baada ya mke wake wa zamani wa Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema Dk Willibrod Slaa, Rose Kamili kuibuka na kusema amesikitishwa na kauli alizozitoa mume wake huyo alipozungumza na waandishi wa habari Septemba Mosi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Kamili alisema wakati Dk. Slaa anatangaza kung’atuka kwenye siasa alisema amekuwa akila mihogo na familia yake, jambo ambalo si la kweli.
Alisisitiza kuwa japokuwa mihogo siyo chakula...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eCEFneregOo/VLK8saYtarI/AAAAAAAG8xk/hUBrvono5Vw/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
JK amjulia hali Mgonjwa Bagamoyo
![](http://2.bp.blogspot.com/-eCEFneregOo/VLK8saYtarI/AAAAAAAG8xk/hUBrvono5Vw/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-khmQCu8LHXU/U6Gg_j6ynUI/AAAAAAAFrhU/1hw7SvAeYJY/s72-c/unnamed.jpg)
Mh. Lowassa amjulia hali sheikh mkuu wa Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-khmQCu8LHXU/U6Gg_j6ynUI/AAAAAAAFrhU/1hw7SvAeYJY/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--zo8rnIq7a0/U3i0wrSIruI/AAAAAAAFjiU/2apjS9_Zt8E/s72-c/unnamed.jpg)
Mh. Lowassa amjulia hali mwalimu wake wa siasa
![](http://1.bp.blogspot.com/--zo8rnIq7a0/U3i0wrSIruI/AAAAAAAFjiU/2apjS9_Zt8E/s1600/unnamed.jpg)
Mh. Lowassa alikuwa Katibu wa Chama wa mkoa enzi za uenyekiti wa Mzee Kaaya na ndiye aliyemfudisha uongozi wa kisiasa.Katika maongezi yao Mzee...