Mh. Lowassa amjulia hali sheikh mkuu wa Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-khmQCu8LHXU/U6Gg_j6ynUI/AAAAAAAFrhU/1hw7SvAeYJY/s72-c/unnamed.jpg)
Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akizungumza na sheikh mkuu mkoa wa Dodoma,sheikh Adam Zubeir wakati alipokwenda kumjulia hali nyumbani kwake Kikuyu Flats.Sheikh Zubeir amekuwa akisumbuliwa na maradhi na alipelekwa India kwa matibabu hivi karibuni.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rei_HO3QCOM/VIW3HIIBW4I/AAAAAAAG2DU/d36-II8wQeE/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Lowassa amjulia hali askofu mkuu ruzoka hospitali ya TMJ jijini Dar es salaam leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-rei_HO3QCOM/VIW3HIIBW4I/AAAAAAAG2DU/d36-II8wQeE/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
5 years ago
MichuziWaziri Mkuu amjulia hali Mwenyekiti Mstaafu wa Baraza la Wazee Dodoma, Balozi, Job Lusinde
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimjulia hali Mwenyekiti Mstaafu wa Baraza la Wazee Dodoma, Balozi, Job Lusinde, nyumbani kwake, Uzunguni jijini Dodoma, May 19, 2020, ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--zo8rnIq7a0/U3i0wrSIruI/AAAAAAAFjiU/2apjS9_Zt8E/s72-c/unnamed.jpg)
Mh. Lowassa amjulia hali mwalimu wake wa siasa
![](http://1.bp.blogspot.com/--zo8rnIq7a0/U3i0wrSIruI/AAAAAAAFjiU/2apjS9_Zt8E/s1600/unnamed.jpg)
Mh. Lowassa alikuwa Katibu wa Chama wa mkoa enzi za uenyekiti wa Mzee Kaaya na ndiye aliyemfudisha uongozi wa kisiasa.Katika maongezi yao Mzee...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-VPXK7xrqZgM/VIWxCYwTegI/AAAAAAAAZH4/ZMQdurpaSHA/s72-c/photo%2B2.jpg)
LOWASSA AMJULIA HALI ASKOFU RUZOKA WA JIMBO KATOLIKI TABORA
![](http://2.bp.blogspot.com/-VPXK7xrqZgM/VIWxCYwTegI/AAAAAAAAZH4/ZMQdurpaSHA/s640/photo%2B2.jpg)
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU AMJULIA HALI MBOWE
Waziri Mkuu amemuombea kiongozi huyo uponyaji wa haraka wa majeraha aliyoyapata baada ya kuvamiwa na watu ambao bado hawajajulikana wakati akiingia nyumbani kwake jijini Dodoma usiku wa kuamkia leo Juni 9, 2020.
“Nimepokea kwa...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU AMJULIA HALI FREEMAN MBOWE
Waziri Mkuu amemuombea kiongozi huyo uponyaji wa haraka wa majeraha aliyoyapata baada ya kuvamiwa na watu ambao bado hawajajulikana wakati akiingia nyumbani kwake jijini Dodoma usiku wa kuamkia leo Juni 9, 2020.
“Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za tukio la kuvamiwa kwa Mheshimiwa...
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Jaji Mkuu amjulia hali Rais Kikwete Marekani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman aliyemtembelea na kumjulia hali Jumapili Novemba 16, 2014 katika hoteli maalumu jirani na Hospitali ya Johns Hopkins jijini Baltimore, Maryland, Marekani anakoishi baada kutoka katika hospitali hiyo alikofanyiwa upasuaji wa tezi dume. Kushoto ni mke wa Rais Mama Salma Kikwete. Jaji Mkuu yuko Marekani kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine yeye na ujumbe wake watahudhuria mkutano maalumu wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-i1daOkmjRaY/VGnpDhuCrpI/AAAAAAADIXY/77gy3kIpjwY/s72-c/0L7C0523.jpg)
JAJI MKUU WA TANZANIA MOHAMED CHANDE OTHMAN AMJULIA HALI RAIS JAKAYA KIKWETE NCHINI MAREKANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-i1daOkmjRaY/VGnpDhuCrpI/AAAAAAADIXY/77gy3kIpjwY/s1600/0L7C0523.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mv-xGMUXdvo/VQ_lPt-fHdI/AAAAAAAHMW8/34jsuPt4kao/s72-c/_MG_4687.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AMJULIA HALI MZEE ISRAELI NAWINGA KIJIJINI KWAKE MASAMA LOSAA WILAYANI HAI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-mv-xGMUXdvo/VQ_lPt-fHdI/AAAAAAAHMW8/34jsuPt4kao/s1600/_MG_4687.jpg)