Jaji Mkuu amjulia hali Rais Kikwete Marekani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman aliyemtembelea na kumjulia hali Jumapili Novemba 16, 2014 katika hoteli maalumu jirani na Hospitali ya Johns Hopkins jijini Baltimore, Maryland, Marekani anakoishi baada kutoka katika hospitali hiyo alikofanyiwa upasuaji wa tezi dume. Kushoto ni mke wa Rais Mama Salma Kikwete. Jaji Mkuu yuko Marekani kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine yeye na ujumbe wake watahudhuria mkutano maalumu wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-i1daOkmjRaY/VGnpDhuCrpI/AAAAAAADIXY/77gy3kIpjwY/s72-c/0L7C0523.jpg)
JAJI MKUU WA TANZANIA MOHAMED CHANDE OTHMAN AMJULIA HALI RAIS JAKAYA KIKWETE NCHINI MAREKANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-i1daOkmjRaY/VGnpDhuCrpI/AAAAAAADIXY/77gy3kIpjwY/s1600/0L7C0523.jpg)
10 years ago
Vijimambo08 Jan
RAIS KIKWETE AMJULIA HALI BRIGEDIA JENERALI MSTAAFU HASHIM MBITA HOSPITALI YA LUGALO
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed3N.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed1N.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-sekbUKX_kb8/VGlok5rdW7I/AAAAAAAGxsg/ssF0x0qrcS4/s72-c/0L7C0440.jpg)
JK akutana na Jaji Mkuu wa Tanzania na ujumbe wake waliomtembelea kumjulia hali marekani
![](http://3.bp.blogspot.com/-sekbUKX_kb8/VGlok5rdW7I/AAAAAAAGxsg/ssF0x0qrcS4/s1600/0L7C0440.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Jaji Mkuu waTanzania Mhe Mohamed Chande Othman pamoja na ujumbe wake walipomtembelea na kumjulia hali Jumapili Novemba 16, 2014 katika hoteli maalumu jirani na Hospitali ya Johns Hopkins jijini Baltimore, Maryland, Marekani anakoishi baada kutoka katika hospitali hiyo alikofanyiwa upasuaji wa tezi dume.
Jaji Mkuu na ujumbe wake wako Marekani kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine yeye na ujumbe wake watahudhuria mkutano maalumu wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8a9yLkKQTdtYSL7xX5-eR-yfdLEKLtOax01l7Pd6N9MS9p105NdfIE0ZYAxe0siqJEOITA*UhuB61rtTxcvREAp/JK0.jpg?width=650)
JK ATEMBELEWA NA JAJI MKUU WA TANZANIA NA UJUMBE WAKE WALIOFIKA KUMJULIA HALI BALTIMORE, MAREKANI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman aliyemtembelea na kumjulia hali Jumapili Novemba 16, 2014 katika hoteli maalumu jirani na Hospitali ya Johns Hopkins jijini Baltimore, Maryland, Marekani anakoishi baada kutoka katika hospitali hiyo alikofanyiwa upasuaji wa tezi dume. Rais Kikwete akiongea na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman.… ...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU AMJULIA HALI MBOWE
Waziri Mkuu amemuombea kiongozi huyo uponyaji wa haraka wa majeraha aliyoyapata baada ya kuvamiwa na watu ambao bado hawajajulikana wakati akiingia nyumbani kwake jijini Dodoma usiku wa kuamkia leo Juni 9, 2020.
“Nimepokea kwa...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU AMJULIA HALI FREEMAN MBOWE
Waziri Mkuu amemuombea kiongozi huyo uponyaji wa haraka wa majeraha aliyoyapata baada ya kuvamiwa na watu ambao bado hawajajulikana wakati akiingia nyumbani kwake jijini Dodoma usiku wa kuamkia leo Juni 9, 2020.
“Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za tukio la kuvamiwa kwa Mheshimiwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-khmQCu8LHXU/U6Gg_j6ynUI/AAAAAAAFrhU/1hw7SvAeYJY/s72-c/unnamed.jpg)
Mh. Lowassa amjulia hali sheikh mkuu wa Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-khmQCu8LHXU/U6Gg_j6ynUI/AAAAAAAFrhU/1hw7SvAeYJY/s1600/unnamed.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania