WAZIRI MKUU AMJULIA HALI FREEMAN MBOWE
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Juni 9, 2020 amemtembelea na kumjulia hali Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe ambaye amelazwa katika hospitali ya Ntyuka jijini Dodoma kwa matibabu.
Waziri Mkuu amemuombea kiongozi huyo uponyaji wa haraka wa majeraha aliyoyapata baada ya kuvamiwa na watu ambao bado hawajajulikana wakati akiingia nyumbani kwake jijini Dodoma usiku wa kuamkia leo Juni 9, 2020.
“Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za tukio la kuvamiwa kwa Mheshimiwa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU AMJULIA HALI MBOWE
Waziri Mkuu amemuombea kiongozi huyo uponyaji wa haraka wa majeraha aliyoyapata baada ya kuvamiwa na watu ambao bado hawajajulikana wakati akiingia nyumbani kwake jijini Dodoma usiku wa kuamkia leo Juni 9, 2020.
“Nimepokea kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)
5 years ago
MichuziWaziri Mkuu amjulia hali Mwenyekiti Mstaafu wa Baraza la Wazee Dodoma, Balozi, Job Lusinde
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimjulia hali Mwenyekiti Mstaafu wa Baraza la Wazee Dodoma, Balozi, Job Lusinde, nyumbani kwake, Uzunguni jijini Dodoma, May 19, 2020, ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA*6TADaQ114ecX8nzYBI6-mPz14Ko84nTU57ncOSz4k-pvQKdCG41hYgzlee8dcfdAAL2HfWDFgNOVnRb1i*z6q/mbowe.jpg?width=650)
MBOWE AMJULIA HALI MBUNGE ROSE KAMILI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sCt50ITUTjA/Xt9ntAlMMDI/AAAAAAAC7Ik/ipsFHdMebxA_G_L1gl-J7lMAUWudrpW5QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA JOB NDUGAI AMJULIA HALI MBOWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-sCt50ITUTjA/Xt9ntAlMMDI/AAAAAAAC7Ik/ipsFHdMebxA_G_L1gl-J7lMAUWudrpW5QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-khmQCu8LHXU/U6Gg_j6ynUI/AAAAAAAFrhU/1hw7SvAeYJY/s72-c/unnamed.jpg)
Mh. Lowassa amjulia hali sheikh mkuu wa Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-khmQCu8LHXU/U6Gg_j6ynUI/AAAAAAAFrhU/1hw7SvAeYJY/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Jaji Mkuu amjulia hali Rais Kikwete Marekani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman aliyemtembelea na kumjulia hali Jumapili Novemba 16, 2014 katika hoteli maalumu jirani na Hospitali ya Johns Hopkins jijini Baltimore, Maryland, Marekani anakoishi baada kutoka katika hospitali hiyo alikofanyiwa upasuaji wa tezi dume. Kushoto ni mke wa Rais Mama Salma Kikwete. Jaji Mkuu yuko Marekani kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine yeye na ujumbe wake watahudhuria mkutano maalumu wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Ulm4W9Y0mMo/VPZC3NRHWGI/AAAAAAAAR2c/25PY4PCwI14/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
MHESHIMIWA FREEMAN MBOWE AKUTANA NA WAZIRI MAGUFULI ALIPOTEMBELEA MKOANI KILIMANJARO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ulm4W9Y0mMo/VPZC3NRHWGI/AAAAAAAAR2c/25PY4PCwI14/s640/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pKrQbQTQRAc/VPZC5WrBndI/AAAAAAAAR2k/PE0ruKSEVHc/s640/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vT2oVkvcEMM/VPZC8VNfU2I/AAAAAAAAR2s/u-KBp_U_Pts/s640/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-My5MKPazkCw/VPZC8Wmo_jI/AAAAAAAAR2w/pL3nMfvlB3E/s640/unnamed%2B(20).jpg)