JK amjulia hali Mgonjwa Bagamoyo
![](http://2.bp.blogspot.com/-eCEFneregOo/VLK8saYtarI/AAAAAAAG8xk/hUBrvono5Vw/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mkazi wa Bagamoyo mjini Bwana Mohamed Amani anayeugua ugonjwa wa Kiharusi kutokana na maradhi ya moyo.Rais kikwete aliyekuwa katika mapunziko ya mwisho wa wiki nyumbani kwake mjini Bagamoyo alimwona mgonjwa huyo na kuamua kusimama kumjulia hali na kuahidi kumpatia msaada wa matibabu Picha na Freddy Maro
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU AMJULIA HALI MBOWE
Waziri Mkuu amemuombea kiongozi huyo uponyaji wa haraka wa majeraha aliyoyapata baada ya kuvamiwa na watu ambao bado hawajajulikana wakati akiingia nyumbani kwake jijini Dodoma usiku wa kuamkia leo Juni 9, 2020.
“Nimepokea kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--zo8rnIq7a0/U3i0wrSIruI/AAAAAAAFjiU/2apjS9_Zt8E/s72-c/unnamed.jpg)
Mh. Lowassa amjulia hali mwalimu wake wa siasa
![](http://1.bp.blogspot.com/--zo8rnIq7a0/U3i0wrSIruI/AAAAAAAFjiU/2apjS9_Zt8E/s1600/unnamed.jpg)
Mh. Lowassa alikuwa Katibu wa Chama wa mkoa enzi za uenyekiti wa Mzee Kaaya na ndiye aliyemfudisha uongozi wa kisiasa.Katika maongezi yao Mzee...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-khmQCu8LHXU/U6Gg_j6ynUI/AAAAAAAFrhU/1hw7SvAeYJY/s72-c/unnamed.jpg)
Mh. Lowassa amjulia hali sheikh mkuu wa Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-khmQCu8LHXU/U6Gg_j6ynUI/AAAAAAAFrhU/1hw7SvAeYJY/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA*6TADaQ114ecX8nzYBI6-mPz14Ko84nTU57ncOSz4k-pvQKdCG41hYgzlee8dcfdAAL2HfWDFgNOVnRb1i*z6q/mbowe.jpg?width=650)
MBOWE AMJULIA HALI MBUNGE ROSE KAMILI
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU AMJULIA HALI FREEMAN MBOWE
Waziri Mkuu amemuombea kiongozi huyo uponyaji wa haraka wa majeraha aliyoyapata baada ya kuvamiwa na watu ambao bado hawajajulikana wakati akiingia nyumbani kwake jijini Dodoma usiku wa kuamkia leo Juni 9, 2020.
“Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za tukio la kuvamiwa kwa Mheshimiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IpZNc-J_yL0/VLpn1DMqYvI/AAAAAAAG9_k/CNynUnI-RVc/s72-c/unnamed.jpg)
MH. PINDA AMJULIA HALI MBUNGE VITA KAWAWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-IpZNc-J_yL0/VLpn1DMqYvI/AAAAAAAG9_k/CNynUnI-RVc/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-m2cqkF16GOE/VLpn1EFxVfI/AAAAAAAG9_g/Jarg4RCqZvw/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-em7YgeVX890/U4HgKDx8IzI/AAAAAAAFk5c/6-50O5nKxYs/s72-c/unnamed+(16).jpg)
JK amjulia hali mama mzazi wa Zitto Kabwe leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-em7YgeVX890/U4HgKDx8IzI/AAAAAAAFk5c/6-50O5nKxYs/s1600/unnamed+(16).jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Jaji Mkuu amjulia hali Rais Kikwete Marekani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman aliyemtembelea na kumjulia hali Jumapili Novemba 16, 2014 katika hoteli maalumu jirani na Hospitali ya Johns Hopkins jijini Baltimore, Maryland, Marekani anakoishi baada kutoka katika hospitali hiyo alikofanyiwa upasuaji wa tezi dume. Kushoto ni mke wa Rais Mama Salma Kikwete. Jaji Mkuu yuko Marekani kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine yeye na ujumbe wake watahudhuria mkutano maalumu wa...