Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maalim seif awataka JK na Shein Kusimamia amani

Mgombea wa Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amemuomba Rais Jakaya Kikwete na Rais Ali Mohamed Shein kubeba dhamana ya uongozi katika siku hizi chache zilizobaki za uongozi wao kwa kusimamia katiba na sheria za nchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Maalim Seif awataka wabunge kutatua kero

Maalim Seif Sharif HamadWABUNGE na Wawakilishi wametakiwa kuzipatia ufumbuzi kero na matatizo yanayowakabili wananchi katika majimbo ya uchaguzi kwa lengo la kuleta maendeleo.

 

9 years ago

Mwananchi

Maalim Seif awataka Wazanzibari wasikubali kuvurugwa, watulie

“Kazi tayari tupe kinuramgongo”, yaani “kazi imekwisha tupe malipo”, ni wimbo uliotawala mkutano kati ya Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad na wajumbe wa kamati za utendaji za wilaya na majimbo, mkutano mkuu na wafuasi wa chama hicho Kisiwani Pemba jana.

 

10 years ago

Mwananchi

Ni Shein na Maalim Seif

Halmashauri Kuu ya CCM imempitisha Dk Ali Mohamed Shein kupeperusha bendera ya chama hicho katika kinyang’anyiro cha urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa awamu ya pili.

 

10 years ago

Mwananchi

Maalim awataka Dk Shein, Balozi Idd wadhibiti vurugu

Mgombea urais wa CUF, Zanzibar chini ya mwamvuli wa Ukawa, Maalim Seif amesema amewataka Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein na Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ally Idd kuhakikisha wanadhibiti vurugu zinazoweza kutokea katika uchaguzi mkuu ujao la sivyo watapelekwa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maalim Seif awavaa JK, Dk. Shein

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad amewataka Rais Jakaya Kikwete na Dk. Ali Mohamed Shein wasikubali kudanganywa na vigogo waliosimamia Bunge Maalum la Katiba (BMK)....

 

11 years ago

Mwananchi

Pambano la Dk Shein, Maalim Seif limeshaanza

Kabla na baada ya kuandikwa kwa Katiba Inayopendekezwa, wananchi wa Zanzibar wamebaki katika kizungumkuti kupambanua, kupima na kupembua ni nani kati ya Rais, Dk Ali Mohamed Shein na Makamu wake wa Kwanza, Maalim Seif Sharif Hamad anasema kweli na kustahili kusikilizwa kwa kina cha ufahamu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Zanzibar:Shein akutana na Maalim Seif

Mazungumzo ya kutafuta suluhu ya mgogoro wa kisiwa cha Zanzibar yameendelea huku mkutano uliowaleta pamoja rais Ali Mohammed Shein na kiongozi wa upinzani Seif Sharrif Hamad ukifanyika.

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Shein avutana na Maalim Seif Zanzibar

Na Esther Mbussi, Zanzibar

RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitashinda kwa kishindo katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25  mwaka huu.

Alisema kauli inayozungumzwa na wapinzani kwamba chama hicho kimekuwa kikiiba kura katika uchaguzi ni kauli za ghiliba na vitisho ambazo hazipaswi kutolewa na kiongozi aliyebobea.

Rais huyo wa Zanzibar pia alisema hakuna sababu za msingi za kuifanyia mabadiliko Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) ikiwamo kuwaondoa watendaji...

 

10 years ago

Habarileo

Shein rasmi kumvaa Maalim Seif

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amechukua fomu ya kuwania urais wa Zanzibar, akiomba ridhaa kwa wananchi aweze kuongoza katika kipindi kingine cha miaka mitano, ambapo sasa atapambana na mgombea urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharrif Hamad.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani