Zanzibar:Shein akutana na Maalim Seif
Mazungumzo ya kutafuta suluhu ya mgogoro wa kisiwa cha Zanzibar yameendelea huku mkutano uliowaleta pamoja rais Ali Mohammed Shein na kiongozi wa upinzani Seif Sharrif Hamad ukifanyika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Dk. Shein avutana na Maalim Seif Zanzibar
Na Esther Mbussi, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitashinda kwa kishindo katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu.
Alisema kauli inayozungumzwa na wapinzani kwamba chama hicho kimekuwa kikiiba kura katika uchaguzi ni kauli za ghiliba na vitisho ambazo hazipaswi kutolewa na kiongozi aliyebobea.
Rais huyo wa Zanzibar pia alisema hakuna sababu za msingi za kuifanyia mabadiliko Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) ikiwamo kuwaondoa watendaji...
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Kikwete akutana na Maalim Seif wa Zanzibar
9 years ago
Mwananchi10 Nov
9 years ago
StarTV22 Dec
Rais Magufuli akutana na Maalim Seif kujadili hali ya siasa Zanzibar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli amekutana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharrif Hamad Ikulu Jijini Dar es Salaam kujadili hali ya siasa inavyoendelea visiwani Zanzibar
Mazungumzo ya Viongozi hao yamehudhuriwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Viongozi hawa kwa pamoja wamejadili hali ya kisiasa Zanzibar na wamefurahishwa na hali ya...
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA TAMWA
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-q54gUbYnSoE/VgP7FW7gnzI/AAAAAAAAZpk/nAKcnJuux3k/s72-c/DSC_9913%2B%25281%2529.jpg)
DKT. SHEIN, MAALIM SEIF WASHIRIKI BARAZA LA EID EL-HAJJ MJINI ZANZIBAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-q54gUbYnSoE/VgP7FW7gnzI/AAAAAAAAZpk/nAKcnJuux3k/s640/DSC_9913%2B%25281%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uS5KxyX0JfE/VgP7E_o-KVI/AAAAAAAAZpg/54NyRGuV14Y/s640/DSC_9869.jpg)
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Ni Shein na Maalim Seif
9 years ago
Mwananchi05 Nov
JK akutana na Maalim Seif
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Maalim Seif awavaa JK, Dk. Shein
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad amewataka Rais Jakaya Kikwete na Dk. Ali Mohamed Shein wasikubali kudanganywa na vigogo waliosimamia Bunge Maalum la Katiba (BMK)....