Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC ang’aka mwenyekiti wa kijiji kutimuliwa

MKUU wa Wilaya (DC) ya Igunga, Elibariki Kingu, amewakemea viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kijiji cha Igurubi kwa kumfukuza kazi mwenyekiti wa serikali ya kijiji hicho, Selemani Mdeka, kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Makonda ang’aka

Paul Makonda.MKUU wa Wilaya ya Kinondoni , Paul Makonda (pichani) amesema wanaobeza uwezo wake kiutendaji baada ya kuteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kushika wadhifa huo, wasubiri waone atakavyokuwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Jonathan ang'aka ye si mkwasi

Rais Goodluck Jonathan hivi karibuni ameng'aka kuwa jina lake kujumuishwa katika orodha ya marais tajiri Africa haina msingi .

 

9 years ago

Habarileo

Kerr ang’aka Kessy kutakiwa Yanga

KOCHA wa timu ya soka ya Simba, Dylan Kerr ameutaka uongozi wa timu hiyo kuhakikisha unamwongezea mkataba beki wake wa kulia Hassan Kessy kutokana na mchango mkubwa aliokuwa nao.

 

10 years ago

Habarileo

Sing’oki mpaka uchaguzi ufanyike, ang’aka Mrema

 Augustine Mrema MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema amesema hawezi kung’oka katika nafasi yake ya uongozi hadi hapo uchaguzi wa chama hicho utakapofanyika.

 

10 years ago

Dewji Blog

Sina dhambi ya kuuawa na bomu, ang’aka DED Iramba

DSC03315

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Halima Mpita, akizungumza na waandishi wa habari juu ya bahasha iliyokuwa na bomu lililolenga kumuawa.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Iramba

MKURUGENZI mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Iramba mkoani Singida,Halima Mpita aliyenusurika kuawa kwa bomu lililokuwa limehifadhiwa ndani ya bahasha,amefunguka na kudai kwamba anaamini hana dhambi ambayo inaweza kusababisha apewe adhabu ya kuawa kwa...

 

11 years ago

GPL

MAMA WA LULU ATUPIWA TUHUMA NZITO, ANG’AKA

Mama mzazi wa Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila. Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
MAMA wa msanii wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ametupiwa tuhuma nzito kuwa ni mnywaji wa pombe sana hali inayomfanya mwanaye huyo alalamikie pembeni. Chanzo kilicho karibu na familia hiyo kimeliambia Amani juzi kuwa, Lulu amekuwa akijituma kuhakikisha kila kitu kwenye familia kinakwenda...

 

11 years ago

Michuzi

KINANA ATINGA BUMBULI, ANG'AKA KIWANDA CHA CHAI KUFA MPONDE, ATAKA VIONGOZI WALIOHUSIKA WAWAJIBISHWE.













Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi katika kata ya Mponde, akiwa katika ziara ya kukagua na kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia ya kuzitatua, katika jimbo la Bumbuli, wilayani Lushoto mkoani Tanga,  Septemba 29, 2014.      Akizungumza na mamia ya wananchi waliofurika kwenye viwanja vya Kijiji cha Mponde, Kinana ameitaka serikali kuwachukulia hatua za kisheria viongozi wote waliohusika kwa namna moja au nyingine...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwenyekiti wa Kijiji matatani kwa uchochezi

MWENYEKITI wa Serikali ya Kijiji cha Karukekere wilayani Bunda, Mara, Jogoro Amoni amekamatwa na polisi kwa kile kinachodaiwa kuchochea ukabila katika kijiji hicho na kusababisha ugomvi uliojeruhi vijana watatu. Amri...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti wa kijiji akutwa na fuvu la binadamu

Bariadi. Polisi mkoani Simiyu inamshikilia mkazi wa Kijiji cha Bukigi, Kata ya Malampaka wilayani Maswa, kwa tuhuma za kukutwa na viungo vinavyosadikiwa kuwa ni vya binadamu likiwamo fuvu la kichwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani