Sing’oki mpaka uchaguzi ufanyike, ang’aka Mrema
MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema amesema hawezi kung’oka katika nafasi yake ya uongozi hadi hapo uchaguzi wa chama hicho utakapofanyika.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ac4N_8JVY6k/VLkwnOk98PI/AAAAAAAG93U/VE37c4_f4yk/s72-c/DSC_0735.jpg)
SING’OKI NG’O TLP- MREMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ac4N_8JVY6k/VLkwnOk98PI/AAAAAAAG93U/VE37c4_f4yk/s1600/DSC_0735.jpg)
Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party TLP,Agustine Lyatonga Mrema amesema hangoki ng’o katika nafasi ya uenyekiti TLP.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Magomeni jijini Dar es salaam leo,Mrema amesema hajavunja katiba ya TLP hivyo yeye ni mwenyekiti halali.
Mrema amesema watu wanampiga majungu wakiwemo na UKAWA katika kuhakikisha TLP inasambaratika ,lakini hawataweza pamoja na kikundi hicho cha panya road.
Amesema kikundi...
10 years ago
Habarileo20 Feb
Makonda ang’aka
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni , Paul Makonda (pichani) amesema wanaobeza uwezo wake kiutendaji baada ya kuteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kushika wadhifa huo, wasubiri waone atakavyokuwa.
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
DC ang’aka mwenyekiti wa kijiji kutimuliwa
MKUU wa Wilaya (DC) ya Igunga, Elibariki Kingu, amewakemea viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kijiji cha Igurubi kwa kumfukuza kazi mwenyekiti wa serikali ya kijiji hicho, Selemani Mdeka, kwa...
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Rais Jonathan ang'aka ye si mkwasi
9 years ago
Habarileo08 Nov
Kerr ang’aka Kessy kutakiwa Yanga
KOCHA wa timu ya soka ya Simba, Dylan Kerr ameutaka uongozi wa timu hiyo kuhakikisha unamwongezea mkataba beki wake wa kulia Hassan Kessy kutokana na mchango mkubwa aliokuwa nao.
11 years ago
BBCSwahili27 Dec
Marekani:uchaguzi ufanyike haraka A.kati
11 years ago
Mwananchi15 Mar
‘Uchaguzi Serikali za Mitaa ufanyike mwakani’
10 years ago
Dewji Blog12 Jan
Sina dhambi ya kuuawa na bomu, ang’aka DED Iramba
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Halima Mpita, akizungumza na waandishi wa habari juu ya bahasha iliyokuwa na bomu lililolenga kumuawa.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Iramba
MKURUGENZI mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Iramba mkoani Singida,Halima Mpita aliyenusurika kuawa kwa bomu lililokuwa limehifadhiwa ndani ya bahasha,amefunguka na kudai kwamba anaamini hana dhambi ambayo inaweza kusababisha apewe adhabu ya kuawa kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6HiP8Na2MwiV6dRqksoht1s8FZx0XVX8tyOasWDlRRx4cbQfz1mIo2GrYEpOvCojR3*pd1iM7Qsk6k3tYS7CPrbF/mamalulu.jpg?width=650)
MAMA WA LULU ATUPIWA TUHUMA NZITO, ANG’AKA