WEREMA, NISINGESUBIRI KUTIMULIWA, NINGEJIUZULU
![](http://api.ning.com:80/files/V0EnpUkUMSWQT2Z9R*ZZmirWArYuf*Y6Ptpmg-*u-Qm5k8eIf5*37y6OvTv*UFwQVuSF2nRIS-jTNMRjxHH06KgFXA5bneN5/AGAkwamaClip.jpg?width=650)
Jaji Frederick Werema akizungumza jambo. Kwako Jaji Frederick Werema. Najua katika siku za hivi karibuni umekuwa katika wakati mgumu sana kutokana na kushiriki kwako kwa namna moja au nyingine katika sakata la mabilioni ya Escrow. Najua jinsi ulivyochanganyikiwa lakini sina namna nyingine zaidi ya kukufikishia ujumbe huu, hata kama utakuchukiza. Mimi sikuzaliwa Oktoba 10, 1955 kama wewe. Sikusoma Shule ya Msingi Wegero...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo29 Nov
INGEKUWA MIMI WEREMA, NISINGESUBIRI KUTIMULIWA, NINGEJIUZULU
![](http://api.ning.com/files/V0EnpUkUMSWQT2Z9R*ZZmirWArYuf*Y6Ptpmg-*u-Qm5k8eIf5*37y6OvTv*UFwQVuSF2nRIS-jTNMRjxHH06KgFXA5bneN5/AGAkwamaClip.jpg?width=650)
Jaji Frederick Werema akizungumza jambo
Kwako Jaji Frederick Werema.
Najua katika siku za hivi karibuni umekuwa katika wakati mgumu sana kutokana na kushiriki kwako kwa namna moja au nyingine katika sakata la mabilioni ya Escrow. Najua jinsi ulivyochanganyikiwa lakini sina namna nyingine zaidi ya kukufikishia ujumbe huu, hata kama utakuchukiza.
Mimi sikuzaliwa Oktoba 10, 1955 kama wewe. Sikusoma Shule ya Msingi Wegero wala Sekondari za Bwiru na Songea Boys kama wewe. Sikuchukua Shahada ya...
10 years ago
GPLNINGEKUWA MIMI CHENGE, NISINGESUBIRI KUWAJIBISHWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91sldHDSCbTM6GvTBsKkwvEbs2206k*scEhaslSfZHX2pUDpMxbEfSPWAGw0xgvZkQLCMmz4fZm0um6LsVIQYQl*n3/KILAINI.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI ASKOFU METHOD KILAINI, NINGEJIUZULU WADHIFA WANGU
9 years ago
Habarileo04 Nov
Waliohujumu CCM kutimuliwa
WANACHAMA na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliohusika kwa namna moja ama nyingine kukihujumu chama hicho wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu na kukikosesha ushindi katika kata na majimbo kadhaa, wametakiwa kutafuta pa kwenda kabla ya kufukuzwa uanachama.
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Kaze afagilia Loga kutimuliwa
10 years ago
Habarileo13 Dec
RC aagiza wadhibiti uegeshaji kutimuliwa
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki, ameiagiza Halmashauri ya Jiji kuondoa kampuni ya uwakala wa kusimamia udhibiti wa uegeshaji holela wa magari katika eneo la jiji kutokana na makampuni hayo kuwa kero kwa watumiaji wa barabara.
11 years ago
Habarileo15 May
Mameya, wakurugenzi wakorofi kutimuliwa
SERIKALI imesema kuanzia sasa itawaondoa madarakani mameya, wenyeviti wa halmashauri na wakurugenzi katika halmashauri zitakazokumbwa na mgogoro.
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Viongozi wasio na vyoo kutimuliwa India
10 years ago
BBCSwahili17 Dec