Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


INGEKUWA MIMI WEREMA, NISINGESUBIRI KUTIMULIWA, NINGEJIUZULU


Jaji Frederick Werema akizungumza jambo
Kwako Jaji Frederick Werema.
Najua katika siku za hivi karibuni umekuwa katika wakati mgumu sana kutokana na kushiriki kwako kwa namna moja au nyingine katika sakata la mabilioni ya Escrow. Najua jinsi ulivyochanganyikiwa lakini sina namna nyingine zaidi ya kukufikishia ujumbe huu, hata kama utakuchukiza.

Mimi sikuzaliwa Oktoba 10, 1955 kama wewe. Sikusoma Shule ya Msingi Wegero wala Sekondari za Bwiru na Songea Boys kama wewe. Sikuchukua Shahada ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WEREMA, NISINGESUBIRI KUTIMULIWA, NINGEJIUZULU

Jaji Frederick Werema akizungumza jambo. Kwako Jaji Frederick Werema.
Najua katika siku za hivi karibuni umekuwa katika wakati mgumu sana kutokana na kushiriki kwako kwa namna moja au nyingine katika sakata la mabilioni ya Escrow. Najua jinsi ulivyochanganyikiwa lakini sina namna nyingine zaidi ya kukufikishia ujumbe huu, hata kama utakuchukiza. Mimi  sikuzaliwa Oktoba 10, 1955 kama wewe. Sikusoma Shule ya Msingi Wegero...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI CHENGE, NISINGESUBIRI KUWAJIBISHWA

Andrew Chenge. Kwako Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge.
Najua hunifahamu na hakuna mazingira yanayoweza kutukutanisha pamoja lakini hiyo hainizuii kukufishia ujumbe wangu kwako, najua ‘utamaindi’ lakini ni lazima nikwambie kwa faida yako na ya Watanzania. Mheshimiwa, mimi sikuzaliwa Desemba 24, 1947 kama wewe. Sikusoma Shule ya Msingi Zagayu kama wewe. Sikusoma Sekondari ya St. Mary’s Junior...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI ASKOFU METHOD KILAINI, NINGEJIUZULU WADHIFA WANGU

Askofu Method Kilaini. Salaam baba Askofu Method Kilaini.
Ni matumaini yangu kwamba unaendelea vyema na majukumu yako ya kuchunga kondoo wa Bwana. Najua itakuwa vigumu kwa mimi kuonana na wewe kutokana na umbali uliopo kati ya Dar es Salaam na Bukoba lakini hilo halinizuii kukufikishia ujumbe wangu. Baba askofu, mimi sikuzaliwa Machi 30, 1948 kwenye kijiji kilichozungukwa na migomba cha Katoma, Bukoba kama wewe. Sikusomea...

 

9 years ago

Habarileo

Nadir: Tungefungwa ingekuwa aibu yetu

NAHODHA wa mabingwa wa soka wa Tanzania Bara, Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ amesema kama wasingeifunga Azam FC katika mchezo wa Ngao ya Jamii mwishoni mwa wiki, ingekuwa ni aibu kwao.

 

11 years ago

GPL

MWAKIFWAMBA: INGEKUWA BONGO, LUPITA ASINGENG’AA

Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba akiongea na wanahabari wa Global. Stori: Joseph Shaluwa
RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba, amesema tasnia ya sinema za Kibongo imebadilishwa na kuondolewa kwenye taaluma na kuzingatia muonekano na uzuri wa mtu akasema: “Kama msanii wa Kenya Lupita Nyong’o angekuwa Mbongo asingepewa nafasi maana...

 

9 years ago

BBCSwahili

Trump:Dunia ingekuwa bora na Gaddaffi na Saddam

Donald Trump amesema kuwa dunia ingekuwa mahala bora zaidi Saddam Hussein wa Iraq na Maummar Gaddafi wangelikuwa hai.

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA SHIDA INGEKUWA SUMU TUNGEDEDI WENGI!!

Wakubwa shikamooni…wadogo hamjambo? Masela nianje…niaje wanyama wangu wa nguvu? Mzuksi? Hapo Dom barida? Kitaa hii ni mpango mzima arifu! Ama nini? Basi sawa. Kanyaga twende! Mastori ya ebola piga dauni bati tumwombe Saa Godi atuepushe na msala huo. Ebana kuna kichaa wangu mmoko amenifuata, akaniteli kuwa anamaindi kuondoa kitambi kozi kinamkosesha piisi kwa mashori. Mtu mzima nimemshauri achukue mkopo benki, anunue...

 

9 years ago

Raia Mwema

Ahadi za wanasiasa zingekuwa kweli, nchi ingekuwa paradise

KAMA ahadi zote wanasiasa wanazotoa kila mara kwenye majukwaa, hasa kipindi hiki cha kampeni za u

Joseph Mihangwa

 

11 years ago

Michuzi

Revisited And Re-Released: MwanaFA Feat.Jay Moe "IngeKuwa Vipi"

Ingekuwa Vipi-Revisited And Re-Released Ingekuwa Vipi-Revisited And Re-Released[/caption] MwanaFA [real name Hamis Mwinjuma] is, without a doubt, one of the most successfully and respected Bongo Hip-Hop artist in Tanzania, across East Africa and certainly beyond those borders. If that statement made your eyebrows tilt even a bit, I’d suggest you take one step back and think a little. 
His lyrics and songs have inspired new words, idioms etc into the street and classroom dictionaries and thesauruses of Swahili. The grandness of his...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani