Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OYA MASELA SHIDA INGEKUWA SUMU TUNGEDEDI WENGI!!

Wakubwa shikamooni…wadogo hamjambo? Masela nianje…niaje wanyama wangu wa nguvu? Mzuksi? Hapo Dom barida? Kitaa hii ni mpango mzima arifu! Ama nini? Basi sawa. Kanyaga twende! Mastori ya ebola piga dauni bati tumwombe Saa Godi atuepushe na msala huo. Ebana kuna kichaa wangu mmoko amenifuata, akaniteli kuwa anamaindi kuondoa kitambi kozi kinamkosesha piisi kwa mashori. Mtu mzima nimemshauri achukue mkopo benki, anunue...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

OYA MASELA SUMU HAIJARIBIWI KWA KUIONJA!

Niaje…niaje watu wangu wa nguvu? Inakuwa nini sasa hapo kwa krosi mbaya ya kitaa? Kipande hii mtu fidero jeshi la mtu mmoko ndo kama hivo nipo kwa mahewa kukisanua aisee. Kwani kuna problemu? Basi barida. Wanangu jisogezeni hapa kwa jamvini tupate mastori moo. Mambo ya politiksi kama vile yanatumiksi, ngoja tusikilizie kitu cha uchaguzi maana wana si mmesha-jiandikisha? Kama hukujiandikisha acha kuishi kimbululambulula...

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA, KAMA STAREHE ZINAUA SUMU YA NINI?

Niaje joo…inakuwagaje machalii wa kona mbaya kwa fasi ya kitaa. Kwa pande ya huku ni msupa hatare masela wangu. Hopu mko poa tangu lasti wiki nilipowasanua dheni nikabonyea kwenye mbishe za kusaka doo. Ama nini? Basi barida! Kama vipi welikamu kwa jamvini tuanze kusebenza na mastori moo ya kitaa kama kawa kama dawa.
Bifoo sijazama kwenye kitu na boksi tupige kimya kwa sekunde bee kisha wote tuseme R.I.P kwa mzazi jembe...

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA KILEJI MOJA HIYO!

Inakuwaje wakali wangu wa nguvu? Masela barida? Basi kipande hii haina kwikwi chaliiangu. Ebana maandalizi ya kitu cha mnuso wa Eksimasi yakoje? Maana kama sielewielewi hivi. Naona pipo wapo bize kinoma hata hatupeani michongo kama ishu itakuwaje wazazi? Tangu tulipomingo lasti wiki kumekrosi mambo kibwena hadi tudei tunamiti hapa jamvini. Kwanza kulikuwa na mchongo wa Mtani Jembe dheni zikaibuka ishu za mauchaguzi za serikali za...

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA... SAILENTI MESEJI SENTI!

Oya masela inakuwaje hapo kwa fasi ya kitaa? Ama nini? Kipande hii mia arifu. Kama vipi tupige dauni mastori moo ya yule misi bomba wa mwaka huu na almasi ambaye alikula za uso pale Lidazi daadeki.
Kilinukaje? Unaleta nyodo kwa watoto wa mbwa? Utakula mayai viza fasta arifu. Unamanya kwamba wanaokupaisha ndo haohao watakaokupiga dauni mwana? Eti nabii hakubaliki kwao? Teeh…teeh! Kaa humu wewe upate kitu roho inataka....

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA KAZI YA KICHWA SI KUFUGA NYWELE!

Oyooo…niaje masela hapo kwa ndichi ya kitaa cha kati? Ama nini? Inakuwaje wanangu wa Roki Siti? Kitaa hii Bongo tambarare aisee arifu. Piga dauni ishu za mapolitiksi…sijui Ukawa wamejoiniana wakawa kitu kimoko. Basi barida! Chamsingi laifu la washkaji liwe bomba na pipo wainjoi. Hayo mengine tunawaachia maza na dingi wafanye yao. Ebana eee… kuna stori moko linawatachi mashori hawahawa ambao makachaa wamezoe...

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA SASA HIVI NI MWENDO WA VIPARA!

Mambo vipi wanangu wenyewe? Mzuka? Kitaa hiyo kwa ndichi hapo kati inakuwa nini? Kipande hii haiwi kitu. Hapa vumbi tu kama vipi karibu kwa jamvini rede kukisanua. Kwani kuna tatizo? Hakuna tatizo!
Festi sharauti ziende kwa masela na washikaji zangu wote mlioibuka pale kati Uwanja wa Taifa kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini. Aisee siyo sekreti ilikuwa mzuksi hatare sana. Bata zilipigwa hadi kuku wakaona mawivu daadeki! Bigi...

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA TULIENI…KURUKARUKA ZIACHIE POPKONI!

Yere…yere masela inakuwa nini pale kati? Kwani kuna problemu? Kitaa hii ni mpeto wanangu hakuna kusebenza kozi hapa vumbi tu. Ukifuata nyayo tunatembea na fagio tunazifuta. Kitaa hiyo kwa fasi ya Roki Siti barida? Kama vipi mzuka tu makiksi wangu. Wanangu deizi zinakrosi kama hazina akili flenga na watu wazima bado mambo siyo freshi kozi hatujamaliza kurekebisha ishu f’lani za mkwanja ili kitu cha eksimasi kiende...

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA BINADAMU DAMU, BILA DAMU SANAMU!

Inakuwaje watu wangu wa nguvu? Niaje…niaje kitaa hiyo? Hapo Roki Siti mzuka? Hapa vumbi tu! Ama nini? Kama vipi karibu jamvini tukisanue tugedha! Kwani kuna mbaya? Haina kwikwi jamaa yangu. Hapa mdogomdogo bati weka mbali na madongo…ooohooo! Utaambulia patupu ndani ya dakika ziro. Kuna mnyama wangu mmoko kaniteli kuwa ni bora kupanga kwa faza hausi kuliko maza hausi! Unanyaka kwa nini? Selaa anakuteli kuwa washua...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Wengi wanaathirika na maji ya sumu

Chanzo cha maji Luhira ambacho wakulima wanafanya uchafuzi kwa kupulizia kemikali za sumu kwenye mashamba yao ya nyanya. Na Albano Midelo WATU wanaoishi katika Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma wapo katika hatari ya kukumbwa na magonjwa mbalimbali na hata kupoteza maisha kutokana na kutumia maji ya Mto Luhira ambao umechafuliwa kwa kemikali mbalimbali. Luhira ni chanzo cha Mto Ruhuhu ambao unamwaga maji yake Ziwa Nyasa. Mto Luhira unaanzia kwenye Milima ya Matogoro iliyopo nje kidogo ya Mji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani