NINGEKUWA MIMI ASKOFU METHOD KILAINI, NINGEJIUZULU WADHIFA WANGU
![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91sldHDSCbTM6GvTBsKkwvEbs2206k*scEhaslSfZHX2pUDpMxbEfSPWAGw0xgvZkQLCMmz4fZm0um6LsVIQYQl*n3/KILAINI.jpg?width=650)
Askofu Method Kilaini. Salaam baba Askofu Method Kilaini. Ni matumaini yangu kwamba unaendelea vyema na majukumu yako ya kuchunga kondoo wa Bwana. Najua itakuwa vigumu kwa mimi kuonana na wewe kutokana na umbali uliopo kati ya Dar es Salaam na Bukoba lakini hilo halinizuii kukufikishia ujumbe wangu. Baba askofu, mimi sikuzaliwa Machi 30, 1948 kwenye kijiji kilichozungukwa na migomba cha Katoma, Bukoba kama wewe. Sikusomea...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bco3t9J7*tS6JQAqcOfyXWoDQGb6-zaO15P3-WTklunk-vKafLxPcloPlDYAWWW5itfXKApeypck5YpjdbxFkodgyl*-9PGA/KamandaKOVA.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI SULEIMAN KOVA, NINGETAZAMA UPYA UFANISI WANGU
10 years ago
Vijimambo10 Jan
NINGEKUWA MIMI SULEIMAN KOVA, NINGETAZAMA UPYA UFANISI WANGU WA KAZI
![](http://api.ning.com/files/bco3t9J7*tS6JQAqcOfyXWoDQGb6-zaO15P3-WTklunk-vKafLxPcloPlDYAWWW5itfXKApeypck5YpjdbxFkodgyl*-9PGA/KamandaKOVA.jpg?width=650)
Kwako Kamanda wa Kanda Maalum ya Kipolisi ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova.Ni matumaini yangu kwamba unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku ambayo yanakufanya uwe bize muda mwingi. Najua itakuwa vigumu kuonana na wewe kwa mara nyingine tangu tulipoonana siku ulipotembelea chumba chetu cha habari. Hata hivyo, hiyo hainizuii kukufikishia ujumbe wangu kwako.Mheshimiwa, mimi siyo Kamanda wa Polisi wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfbInsB5bPTeKPqhD-lx8I5XDcvisLnWMVXZvcVDCVp-BSEuKBcxmGMSG0*t1E7JFVoGudwJkzBZ-5MPR4cuTi2f/HAWAGHASIA.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI HAWA GHASIA, NINGEKUWA WA KWANZA KUJIUZULU
10 years ago
Vijimambo29 Nov
INGEKUWA MIMI WEREMA, NISINGESUBIRI KUTIMULIWA, NINGEJIUZULU
![](http://api.ning.com/files/V0EnpUkUMSWQT2Z9R*ZZmirWArYuf*Y6Ptpmg-*u-Qm5k8eIf5*37y6OvTv*UFwQVuSF2nRIS-jTNMRjxHH06KgFXA5bneN5/AGAkwamaClip.jpg?width=650)
Jaji Frederick Werema akizungumza jambo
Kwako Jaji Frederick Werema.
Najua katika siku za hivi karibuni umekuwa katika wakati mgumu sana kutokana na kushiriki kwako kwa namna moja au nyingine katika sakata la mabilioni ya Escrow. Najua jinsi ulivyochanganyikiwa lakini sina namna nyingine zaidi ya kukufikishia ujumbe huu, hata kama utakuchukiza.
Mimi sikuzaliwa Oktoba 10, 1955 kama wewe. Sikusoma Shule ya Msingi Wegero wala Sekondari za Bwiru na Songea Boys kama wewe. Sikuchukua Shahada ya...
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Askofu Kilaini, Nzigirwa wazungumzia tuhuma
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qEIGUk-O2Yg/Uycna6zgERI/AAAAAAACcsg/OZ7B8lTYtus/s72-c/download.jpg)
Askofu Kilaini alibariki Tamasha la Pasaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-qEIGUk-O2Yg/Uycna6zgERI/AAAAAAACcsg/OZ7B8lTYtus/s1600/download.jpg)
Mhashamu Kilaini ambaye ni Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, ameyasema hayo alipozungumza na Gazeti hili kuhusu Tamasha la Pasaka linalotarajiwa kufanyika katika jiji la Dar es Salaam, Aprili 20...
10 years ago
GPLNINGEKUWA MIMI CHENGE, NISINGESUBIRI KUWAJIBISHWA
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Rose Kamili, Askofu Kilaini wamshukia Dk Slaa
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Askofu Kilaini ahimiza uwekezaji katika ndoa
Na Joan John, Kagera
ASKOFU Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba, Mhashamu, Methodius Kilaini amewataka wanandoa nchini kuwekeza katika ndoa zao ili kuweza kujenga familia imara.
Askofu Kilaini alisema hayo juzi katika misa ya pili iliyofanyika katika Kanisa Katoliki mjini Bukoba ambapo alisema kuwa bila wanandoa kuwekeza katika ndoa zao, kamwe hawawezi kujenga familia imara.
Alisema Wakristo wanapaswa kujenga tabia ya uvumilivu, upendo, amani, kuthaminiana, kuheshimiana katika...