Kutimuliwa Maximo,Wachezaji Yanga kilio
Maximo atimuliwa Yanga, Wachezaji wa Klabu hiyo wamlilia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Maximo awatisha wachezaji Yanga
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, amesema hana nafasi kwa nyota wenye majina makubwa wasiojituma na kusema ni heri abaki na wachache wenye kujituma na kutambua wajibu...
11 years ago
GPL
Yanga yampa Maximo wachezaji 60
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Wachezaji Yanga SC wampa raha Maximo
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, amesema timu yake imezidi kumpa raha kutokana na kiwango cha wachezaji kuzidi kuimarika kila siku kutokana na utayari wa wachezaji wa...
10 years ago
Michuzi
Kuondoka kwa Maximo, wachezaji Yanga wamwaga chozi!

Hata hivyo, tayari Maximo ameaga wachezaji wake kwenye mazoezi ya asubuhi leo ambapo mazoezi hayo yaligeuka shubiri baada ya Maximo...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Maximo, wachezaji wateta saa moja
KOCHA mpya wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, jana alifanya kikao na wachezaji wake kwa zaidi ya saa moja na nusu wakiweka mikakati mbalimbali ya kufanya vizuri msimu ujao wa Ligi...
10 years ago
GPL
Maximo anatia huruma, awaaga wachezaji kwa majonzi
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Tiboroha akana ‘kumharibia’ Niyonzima kutimuliwa Yanga
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kocha Pluijm aunga mkono Niyonzima kutimuliwa Yanga
SIKU moja baada ya Yanga kusitisha mkataba wake na Haruna Niyonzima, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm ameibuka na kusema alikwishamuondoa kiungo huyo kwenye mipango yake.
10 years ago
Habarileo22 Oct
Yanga safi, Simba kilio
YANGA safari hii ni dozi tu! Ndivyo unavyoweza kuzungumzia matokeo ya mchezo wa jana wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga na Toto Africans. Mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ulimalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 4-1, hivyo kuendelea kukalia usukani wa ligi hiyo ikiwa na pointi 19, ikifuatiwa na Azam yenye pointi 16.