Ngeleja: Naheshimu uamuzi wa CCM
MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja, amesema anaheshimu adhabu aliyopewa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), hivyo hayupo tayari kuzungumzia masuala ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani. CCM iliwaadhibu makada...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Jun
Ngeleja aahidi makubwa akipeperusha bendera ya CCM
MBUNGE wa Sengerema, ambaye amechukua fomu kuomba kuwania urais kupitia CCM, William Ngeleja, ameahidi wana CCM wenzake kwamba chama kikimpitisha kuwania nafasi hiyo na akishinda, ataboresha kilimo cha mazao ya biashara.
10 years ago
Mtanzania22 May
Uamuzi mgumu CCM
Na Khamis Mkotya, Dodoma
NI uamuzi mgumu, ndivyo unavyoweza kusema wakati Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC) inapoanza vikao vya juu mjini Dodoma leo.
Vikao hivyo ni mwelekeo wa chama kuelekea uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani, unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.
Kikao cha kamati hiyo kinatarajiwa kuanza saa nne asubuhi, ambapo wajumbe wa kikao hicho watajadili masuala mbalimbali, ikiwamo hatima ya makada sita wa chama hicho waliofungiwa.
Hata hivyo, taarifa ambazo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8mxIt0kQVpw/UxR05KjDFjI/AAAAAAAFQyQ/4M6q8iOOU88/s72-c/unnamed+(2).jpg)
Balozi Seif Ali Idd awapongeza Viongozi na Wanachama wa CCM wa Tawi la Mafufuni,Bumbini kwa uamuzi wao wa kujenga Tawi jipya la CCM
Balozi Seif alisema hayo wakati akikabidhi mchango wa Shilingi Milioni moja kwa ajili ya uwezekaji wa Tawi hilo kufuatia ahadi aliyoitoa ya kusaidia harakati za ujenzi wa Jengo hilo mchango alioukabidhi kwa uongozi wa Tawi hilo hapo Ofisini...
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Masha amkimbia Wenje, amvaa Ngeleja, Arfi aibukia CCM
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Uamuzi huo wa CCM haunisumbui-Moyo
11 years ago
Mwananchi18 May
Msomi: CCM inapinga uamuzi wake
9 years ago
Mtanzania30 Dec
Pluijm: Naheshimu maamuzi ya kutimuliwa Niyonzima
ADAM MKWEPU NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa klabu ya Yanga, Hans van der Pluijm, amesema anaheshimu uamuzi uliotolewa na uongozi wa klabu hiyo juu ya kuvunja mkataba wa aliyekuwa kiungo mkabaji wa timu hiyo, Haruna Niyonzima.
Uongozi wa Yanga ulifika tamati na mchezaji huyo juzi, kwa madai ya kuchoshwa na tabia yake ya kutoheshimu mkataba pamoja na kutaka kuwa juu ya klabu.
Niyonzima aliongezewa mkataba wa miaka miwili Mei 19 mwaka huu, lakini kutokana na hatua hiyo alitakiwa...
10 years ago
GPL20 Oct
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Uamuzi mgumu CCM katika Kamati Kuu leo