Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msomi: CCM inapinga uamuzi wake

Moja ya shughuli zilizoambatana na maadhimisho ya miaka 50 tangu nchi za Tanganyika na Zanzibar ziungane, ni kongamano lililojadili na kutathmini muungano huo, lililoandaliwa na Jukwaa la Wanataaluma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Farah atetea uamuzi wake

wa kushiriki katika mbio za mafasa marefu za marathon mwaka huu

 

9 years ago

StarTV

CUF wamtaka Mwenyekiti wa tume ya ZEC kubatilisha uamuzi wake

Chama cha wananchi CUF kimemtaka Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Zanzibar, Jecha Salum Jecha kubatilisha uamuzi wake wa kufuta matokeo ya uchaguzi Visiwani humo, na kuitisha uchaguzi mpya ndani ya siku 90.

Chama hicho kimesema hakitambui uamuzi huo kwa kuwa umekiuka baadhi ya vifungu vya katiba kwa kutoa uamuzi usioshirikisha wajumbe wengi wa tume hiyo.

 Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Twaha Taslima alitoa tamko la chama hicho Jijini Dar es Salaam kuhusiana na uamuzi huo wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana mpongeza Mbunge Lekule kwa uamuzi wake wa kutogombea tena

*Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha alia na watendaji wa serikali,asema ndio wanakiumiza chama

*Nape awapongeza wana CCM wilaya ya Longido kwa mshikamano na kuipa ushindi CCM kwenye Chaguzi

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Longido Ndugu Michael Lekule Laizer mara baada ya kuwasili kwenye kijiji cha Engikareti mpakani mwa wilaya ya Arumeru na Longido.

  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisikiliza wimbo maalum kutoka kwa wenyeji...

 

10 years ago

Mtanzania

Uamuzi mgumu CCM

mangulaNa Khamis Mkotya, Dodoma

NI uamuzi mgumu, ndivyo unavyoweza kusema wakati Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC) inapoanza vikao vya juu mjini Dodoma leo.
Vikao hivyo ni mwelekeo wa chama kuelekea uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani, unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.
Kikao cha kamati hiyo kinatarajiwa kuanza saa nne asubuhi, ambapo wajumbe wa kikao hicho watajadili masuala mbalimbali, ikiwamo hatima ya makada sita wa chama hicho waliofungiwa.
Hata hivyo, taarifa ambazo...

 

11 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Idd awapongeza Viongozi na Wanachama wa CCM wa Tawi la Mafufuni,Bumbini kwa uamuzi wao wa kujenga Tawi jipya la CCM

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi Balozi Seif Ali Iddi amewapongeza Viongozi na Wanachama wa CCM wa Tawi la Mafufuni Jimbo la Bumbwini kwa uamuzi wao wa kujenga Tawi jipya la CCM lenya hadhi ya Chama chenyewe.
Balozi Seif alisema hayo wakati akikabidhi mchango wa Shilingi Milioni moja kwa ajili ya uwezekaji wa Tawi hilo kufuatia ahadi aliyoitoa ya kusaidia harakati za ujenzi wa Jengo hilo mchango alioukabidhi kwa uongozi wa Tawi hilo hapo Ofisini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja: Naheshimu uamuzi wa CCM

MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja, amesema anaheshimu adhabu aliyopewa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), hivyo hayupo tayari kuzungumzia masuala ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani. CCM iliwaadhibu makada...

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel inapinga makubaliano na Hamas

''Rais wa Palestina Mahmoud Abbas lazima afutilie mbali mkataba wa amani kati yake na kundi la Hamas ikiwa anataka amani,'' ndio kauli yake waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu

 

10 years ago

Mwananchi

Uamuzi huo wa CCM haunisumbui-Moyo

Dar es Salaam. Aliyekuwa mwananchama namba saba wa CCM, Hassan Nassor Moyo amesema hana matatizo na uamuzi wa chama hicho kumvua uanachama kwa kuwa hakutarajia kama angezaliwa na kuwa mwanachama wa chama hicho.

 

10 years ago

BBCSwahili

HDP:Uturuki inapinga eneo la Kurdistan

Eneo salama linalobuniwa na Uturuki pamoja na Marekani ni jaribio la Ankara kuwazuia wakurdi kuanzisha eneo lao kulingana na kiongozi wa chama cha Kikurdi nchini Uturuki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani