Farah atetea uamuzi wake
wa kushiriki katika mbio za mafasa marefu za marathon mwaka huu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Mo Farah ataka majibu kuhusu kocha wake
11 years ago
BBCSwahili27 Dec
Wenger atetea matokeo ya vijana wake
5 years ago
BBCSwahili24 Feb
Uchunguzi wa Panorama: Masuala mapya yaibuka juu ya uhusiano wake Mo Farah na Alberto Salazar
9 years ago
StarTV24 Dec
Kerr atetea wachezaji wake kuelekea mchezo na mwadui FC
Kocha wa timu ya Simba ya Dar es Salaam Dyrlan Kerr amesema wachezaji wake wanajitahidi kwa kadri ya uwezo wao kupata matokeo mazuri katika michuano ya ligi kuu ya Vodacom inayoendelea,makosa yanayojitokeza kiwanjani ni ya kimchezo na kwamba atayasahihisha.
Simba Ipo jiji Mwanza ikijiandaaa na mchezo unaofuata dhidi ya Mwadui FC utakaopigwa Jumamosi.
Kifua wazi Kocha wa timu ya Simba ya Dar es Salaam Dyrlan Kerr akiongoza mazoezi ya klabu hiyo kwenye viwanja vya DIT jijini Mwanza...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-t2hPVQK3jZU/VDBGzS7hzkI/AAAAAAAGn5Y/UqtQr2U-zB8/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
mdau saidi mkwawa atetea utafiti wake, ala nondozzzz...kiulainiiiii....
![](http://2.bp.blogspot.com/-t2hPVQK3jZU/VDBGzS7hzkI/AAAAAAAGn5Y/UqtQr2U-zB8/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9ZXPSqMCpMo/VDBLedalgbI/AAAAAAAGn6M/ComjXI-hoSs/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
11 years ago
Mwananchi18 May
Msomi: CCM inapinga uamuzi wake
9 years ago
StarTV31 Oct
CUF wamtaka Mwenyekiti wa tume ya ZEC kubatilisha uamuzi wake
Chama cha wananchi CUF kimemtaka Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Zanzibar, Jecha Salum Jecha kubatilisha uamuzi wake wa kufuta matokeo ya uchaguzi Visiwani humo, na kuitisha uchaguzi mpya ndani ya siku 90.
Chama hicho kimesema hakitambui uamuzi huo kwa kuwa umekiuka baadhi ya vifungu vya katiba kwa kutoa uamuzi usioshirikisha wajumbe wengi wa tume hiyo.
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Twaha Taslima alitoa tamko la chama hicho Jijini Dar es Salaam kuhusiana na uamuzi huo wa...
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
Kinana mpongeza Mbunge Lekule kwa uamuzi wake wa kutogombea tena
*Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha alia na watendaji wa serikali,asema ndio wanakiumiza chama
*Nape awapongeza wana CCM wilaya ya Longido kwa mshikamano na kuipa ushindi CCM kwenye Chaguzi
![](http://4.bp.blogspot.com/-0wS_JnWWkOM/VQiC692bM_I/AAAAAAAAYPI/b6q45iVLanA/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Longido Ndugu Michael Lekule Laizer mara baada ya kuwasili kwenye kijiji cha Engikareti mpakani mwa wilaya ya Arumeru na Longido.
![](http://1.bp.blogspot.com/-PpGF5-TAg3Q/VQiMVsU9R8I/AAAAAAAAYRg/Xn3uUwIAXhk/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisikiliza wimbo maalum kutoka kwa wenyeji...