Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wenger atetea matokeo ya vijana wake

Kocha wa Arsenal Arsene Wenger asema mpangilio wa mechi ulisababisha klabu hiyo kucheza mechi nne bila ushindi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Farah atetea uamuzi wake

wa kushiriki katika mbio za mafasa marefu za marathon mwaka huu

 

9 years ago

StarTV

Kerr atetea wachezaji wake kuelekea mchezo na mwadui FC

 

Kocha wa timu ya Simba ya Dar es Salaam Dyrlan Kerr amesema wachezaji wake wanajitahidi kwa kadri ya uwezo wao kupata matokeo mazuri katika michuano ya ligi kuu ya Vodacom inayoendelea,makosa yanayojitokeza kiwanjani ni ya kimchezo na kwamba atayasahihisha.

Simba Ipo jiji Mwanza ikijiandaaa na mchezo unaofuata dhidi ya Mwadui FC utakaopigwa Jumamosi.

 Kifua wazi Kocha wa timu ya Simba ya Dar es Salaam Dyrlan Kerr akiongoza mazoezi ya klabu hiyo kwenye viwanja vya DIT jijini Mwanza...

 

10 years ago

Michuzi

mdau saidi mkwawa atetea utafiti wake, ala nondozzzz...kiulainiiiii....

Mdau  Mhandisi Saidi Mkwawa wa wakala wa ukaguzi Madini Tanzania (TMAA) akiwa anatetea utafiti wake ili apate nondozz ya Master of Engineering Science (Metallurgy) katika Chuo kikuu cha curtin university, campus ya  Western Australia School of Mine hivi karibuni. Utetezi ulipita kwa mafanikio Mdau Mhandisi Mkwawa wa wakala wa ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) akitoa neno  la shukrani kwa wafadhili kwa niaba ya wenzake mara baada ya kutunikiwa nondozzzz ya Master of Engineering Science...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger kuwanyamazisha wakosoaji wake

Meneja wa Asernal Arserne Wenger anataka kuwanyamazisha wakosoaji wake na ushindi dhidi ya Galatasaray baada ya mashibiki kumkemea kwa sababu ya kushindwa na Stoke 3-2

 

9 years ago

Bongo5

Arsene Wenger na mke wake waachana

Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger ameachana na mke wake baada ya kuwepo tetesi za miezi kadhaa kuhusu shida kwenye ndoa yao. Wenger na mke wake huyo, Annie, 59, wamedaiwa kukubaliana kuhusu kugawana mali walizochuma pamoja. Wawili hao wenye mtoto mwenye miaka 18 hawajawahi kuonekana kwenye picha pamoja tangu mwaka 2013. Kocha huyo aliwahi kudai kuwa […]

 

5 years ago

Goal.Com

Wenger proposes change to offside law in wake of VAR controversies

Wenger proposes change to offside law in wake of VAR controversies  Goal.comArsene Wenger’s latest goal is to make a major change to VAR  Just Arsenal NewsArsene Wenger is planning to revolutionise the offside rule to avoid VAR chaos  GIVEMESPORTArsène Wenger Pushing for New Offside Rule and VAR Improvements Before Euro 2020  90minArsene Wenger aims dig back at Unai Emery over Arsenal claims  Just Arsenal NewsView Full coverage on Google...

 

9 years ago

MillardAyo

Huyu ndio staa ambaye Arsene Wenger anatajwa kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Arsenal …

Baada ya dirisha dogo la usajili kwa Ligi Kuu soka Tanzania bara kufungwa December 15, barani Ulaya ndio stori za usajili zinazidi kuchukua nafasi. December 31 stori kutoka mtandao wa 101greatgoals.com unaripoti klabu ya Arsenal ya Uingereza imekamilisha mipango ya usajili ya Mohamed Elneny. Dirisha dogo la usajili kwa nchi za Ulaya linafunguliwa January 1 klabu […]

The post Huyu ndio staa ambaye Arsene Wenger anatajwa kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Arsenal … appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Mbilinyi: Viongozi ‘vijana’ kukosa maadili ni matokeo ya UPE

Katika makala yafuatayo Profesa Saimon Mbilinyi ambaye ni msomi, mwanasiasa na mchumi aliyebobea, pamoja na mambo mengine anaeleza mambo mbalimbali kuhusu yeye, siasa, uchumi na uongozi kama alivyohojiwa hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani