Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wenger kuwanyamazisha wakosoaji wake

Meneja wa Asernal Arserne Wenger anataka kuwanyamazisha wakosoaji wake na ushindi dhidi ya Galatasaray baada ya mashibiki kumkemea kwa sababu ya kushindwa na Stoke 3-2

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wenger atetea matokeo ya vijana wake

Kocha wa Arsenal Arsene Wenger asema mpangilio wa mechi ulisababisha klabu hiyo kucheza mechi nne bila ushindi

 

9 years ago

Bongo5

Arsene Wenger na mke wake waachana

Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger ameachana na mke wake baada ya kuwepo tetesi za miezi kadhaa kuhusu shida kwenye ndoa yao. Wenger na mke wake huyo, Annie, 59, wamedaiwa kukubaliana kuhusu kugawana mali walizochuma pamoja. Wawili hao wenye mtoto mwenye miaka 18 hawajawahi kuonekana kwenye picha pamoja tangu mwaka 2013. Kocha huyo aliwahi kudai kuwa […]

 

5 years ago

Goal.Com

Wenger proposes change to offside law in wake of VAR controversies

Wenger proposes change to offside law in wake of VAR controversies  Goal.comArsene Wenger’s latest goal is to make a major change to VAR  Just Arsenal NewsArsene Wenger is planning to revolutionise the offside rule to avoid VAR chaos  GIVEMESPORTArsène Wenger Pushing for New Offside Rule and VAR Improvements Before Euro 2020  90minArsene Wenger aims dig back at Unai Emery over Arsenal claims  Just Arsenal NewsView Full coverage on Google...

 

9 years ago

MillardAyo

Huyu ndio staa ambaye Arsene Wenger anatajwa kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Arsenal …

Baada ya dirisha dogo la usajili kwa Ligi Kuu soka Tanzania bara kufungwa December 15, barani Ulaya ndio stori za usajili zinazidi kuchukua nafasi. December 31 stori kutoka mtandao wa 101greatgoals.com unaripoti klabu ya Arsenal ya Uingereza imekamilisha mipango ya usajili ya Mohamed Elneny. Dirisha dogo la usajili kwa nchi za Ulaya linafunguliwa January 1 klabu […]

The post Huyu ndio staa ambaye Arsene Wenger anatajwa kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Arsenal … appeared first on...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rais wa Madagascar Rajoelina amewashutumu wakosoaji wa dawa ya mitishamba

Rais wa Madagascar Rajoelina amesema kwamba wakosoaji wa dawa ya mitishamba kutoka taifa hilo wanaikosoa kwasababu ya ubwenyenye

 

11 years ago

Michuzi

ARSENE WENGER PWA!

Arsene Wenger jana alipatwa na majanga mawili ya mwaka baada ya kula mweleka muda mfupi baada ya timu yake ya Arsenal kupigwa 5-1 na Liverpool.  Meneja huyo wa washika bunduki wa Uingereza alikuwa anawahi treni kurudi London katika mtaa wa Lime jijini Liverpool akiwa na wachezaji wake alipoteleza na kuanguka pwa!  Meneja huyo mwenye umri wa miaka 64 anaokenana pichani akiwa anaburuta begi lake wakati akiingia stesheni, lakini mara tu baada ya kuvuka mlango wa kuingilia, anateleza na kula...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho amkejeli Wenger

Mkufunzi wa kilabu ya Chelsea Jose Mourinho amemkosoa tena mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger akimtaja kuwa mfalme anayeongoza bila presha

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Walcot Kusalia Arsenal

Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott anakaribia kuongeza mkataba wake na klabu hiyo hadi mwaka wa 2019.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani