CUF wamtaka Mwenyekiti wa tume ya ZEC kubatilisha uamuzi wake
Chama cha wananchi CUF kimemtaka Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Zanzibar, Jecha Salum Jecha kubatilisha uamuzi wake wa kufuta matokeo ya uchaguzi Visiwani humo, na kuitisha uchaguzi mpya ndani ya siku 90.
Chama hicho kimesema hakitambui uamuzi huo kwa kuwa umekiuka baadhi ya vifungu vya katiba kwa kutoa uamuzi usioshirikisha wajumbe wengi wa tume hiyo.
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Twaha Taslima alitoa tamko la chama hicho Jijini Dar es Salaam kuhusiana na uamuzi huo wa...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-PNVRyv5mSmM/Xu4IoW_tn4I/AAAAAAAAWOo/pVGwsWWBxv8a4-b1gKpIoNKeCZw9P_HywCLcBGAsYHQ/s72-c/a7761dd6-979b-48df-ae2f-d7327d719d11.jpg)
MWENYEKITI WA ZAMANI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI ZANZIBAR (ZEC), JECHA SALUM JECHA AOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-PNVRyv5mSmM/Xu4IoW_tn4I/AAAAAAAAWOo/pVGwsWWBxv8a4-b1gKpIoNKeCZw9P_HywCLcBGAsYHQ/s400/a7761dd6-979b-48df-ae2f-d7327d719d11.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JbxPLMB_LgA/Xu4I63DHchI/AAAAAAAAWPA/130ugm-Kdl4vZ_joVzrRtMksKijXZ9hhQCLcBGAsYHQ/s400/8638efdf-368b-4032-8215-5648a0fc8cf6.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-YXKMBT1aT2c/Xu4IpRwpJ1I/AAAAAAAAWOw/95AS9HmbUTIxzBAIl8U8aHGbzg2dpGrlgCLcBGAsYHQ/s400/fbb5e42d-81c7-427a-ad82-18b91b0e0e8b.jpg)
10 years ago
Michuzi27 Feb
UTEUZI KATIKA TUME YA UTUMISHI WA UMMA NA TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI (CMA)
Katika uteuzi huo, Rais amemteua Mhe. DKT. STEPHEN JAMES BWANA, Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma na BWANA EDRISSA R. MAVURA, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), Bw. Mavura ni Naibu Katibu Mkuu Mstaafu.
Sambamba na uteuzi huu, Rais amewateua Makamishna katika...
10 years ago
VijimamboKatibu wa CUF Maalim Seif Akanusha kuhama kwa Mwenyekiti wake Mhe Pro. Ibrahim Lipumba.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amekanusha taarifa za kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Chama hicho Profesa Ibrahim Haruna Lipumba.
Amesema akiwa Katibu Mkuu wa Chama hicho, hajapokea taarifa zozote za kujiuzulu kwa Prof. Lipumba, na kwamba hadi saa nne za usiku wa jana Jumatatu ya tarehe 03/08/2015, alikuwa na...
10 years ago
Mwananchi31 Jan
CUF wamtaka Waziri Chikawe afute kesi
10 years ago
Dewji Blog08 Jan
JK ateua Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Makamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
UTEUZI – TUME YA HAKI ZA BINADAMU.doc by moblog
10 years ago
Michuzi07 Jan
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Zv2e72POFls/VjJsiib9nrI/AAAAAAAIDaw/qXMV78AestM/s72-c/unnamed.jpg)
Ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa ZEC
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zv2e72POFls/VjJsiib9nrI/AAAAAAAIDaw/qXMV78AestM/s640/unnamed.jpg)
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Wagombea Zanzibar washukuru maandalizi mazuri tume ya uchaguzi NEC na ZEC
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akifanya mahojiano na waandishi wa habari baada ya kipiga kura leo katika kituo cha Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya kati Mkoa wa Kusini Unguja.
Na Mwandishi wetu, Pemba
MAMIA ya wananchi wa visiwa vya Zanzibar wamejitokeza kwa wingi katika zoezi la upigaji wa kura kwa nafasi tano za Urais wa jamhuri wa muungano, Urais wa Zanzibar, Ubunge,...
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Lipumba aibukia ofisi za CUF, ataka JK aingilie kati suala za ZEC