‘Nilimhudumia Tuppa kwa dakika 25’
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Tarime, Marco Nega amesema walimpokea Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tuppa akiwa mahututi na alifariki dakika 25 za matibabu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Mwili wa Tuppa waagwa
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, jana ameongoza wakazi wa Dodoma, viongozi na familia kuuaga mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tuppa, katika viwanja vya Mwalimu Nyerere. Akiongoza ibada...
11 years ago
Daily News27 Mar
Tuppa to be laid to rest on Saturday
Daily News
Tuppa to be laid to rest on Saturday
Daily News
THE Mara Regional Commissioner (RC), Mr John Tuppa, who died in Tarime on Tuesday, will be laid to rest in Kilosa on Saturday, government officials confirmed here yesterday. “All the necessary arrangements are going on well and the burial will take place ...
11 years ago
GPLWAZIRI MKUU AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI WA MAREHEMU TUPPA
Viongozi Dini wakiongoza ibada ya kuuaga mwili wa Marehemu John Gabriel Tupa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara na hapo awali aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma,aliefariki ghafa siku kadhaa zilizopita. Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehemu John Gabriel Tupa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara na hapo awali aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya… ...
11 years ago
GPLBREAKING NEWS: MKUU WA MKOA WA MARA, GABRIEL TUPPA AFARIKI DUNIA
Mkuu wa mkoa wa Mara, Bw. John Gabriel Tuppa. MKUU wa mkoa wa Mara, Bw. John Gabriel Tuppa, amefariki dunia ghafla leo majira ya saa 4.30 asubuhi baada ya kuugua kwa muda mfupi ugonjwa wa shinikizo la damu akiwa wilaya ya Tarime mkoani Mara. Katibu tawala wa mkoa wa Mara, Bw. Benedict Ole Kuyan, amesema kuwa Bw. Tuppa kabla ya kifo chake leo asubuhi akiwa na afya njema alifika… ...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
‘Dakika 60 kwa Warioba siyo haki’
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Julius Mtatiro amepinga hatua ya uongozi wa Bunge hilo kumpa saa moja Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kuwasilisha Rasimu ya Pili ya Katiba kwa wajumbe leo
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Facebook yapotea kwa dakika 40 duniani
Mtandao wa kijamii wa facebook ulikuwa hauingiliki katika maeneo mengi duniani mapema leo kabla ya huduma zake kurudi.
10 years ago
BBCSwahili11 Nov
'Moyo wangu ulisimama kwa dakika 45'
Moyo wa Ruby Graupera uliacha kudunda kwa dakika 45, madaktari walipokuwa wakimfanyia upasuaji waliwakusanya wanafamilia kwa ajili ya kusema buriani.
10 years ago
Mwananchi15 Apr
Muhimbili kuzibua mishipa ya moyo kwa dakika 45
>Huenda Watanzania wanaougua magonjwa ya moyo wakaepuka kusafiri nje ya nchi kwa ajili ya matibabu baada ya tiba ya kuzibua mishipa ya moyo iliyoziba kufanyika kwa mara ya kwanza nchini.
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Lowassa, Maalim Seif wateta kwa dakika 90
Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa jana alifanya mazungumzo ya takriban saa moja na nusu na mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad kuhusu hali ya sintofahamu ya Zanzibar iliyosababishwa na kufutwa kwa Uchaguzi Mkuu wa visiwa hivyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania