BREAKING NEWS: MKUU WA MKOA WA MARA, GABRIEL TUPPA AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com:80/files/DqaYw0w2aP*8vYgoC6UpvwrpOUVq0sC8J1FuVe2YYSPeY5izjTLhSc3Z3QjAN-bG4ceuzAK*IgflYONKHJY*x8z2rdTZFX0w/BREAKINGNEWS.gif)
Mkuu wa mkoa wa Mara, Bw. John Gabriel Tuppa. MKUU wa mkoa wa Mara, Bw. John Gabriel Tuppa, amefariki dunia ghafla leo majira ya saa 4.30 asubuhi baada ya kuugua kwa muda mfupi ugonjwa wa shinikizo la damu akiwa wilaya ya Tarime mkoani Mara. Katibu tawala wa mkoa wa Mara, Bw. Benedict Ole Kuyan, amesema kuwa Bw. Tuppa kabla ya kifo chake leo asubuhi akiwa na afya njema alifika… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Mkuu wa Mkoa wa Mara afariki dunia
MKUU wa Mkoa wa Mara, John Tuppa, amefariki dunia jana akiwa katika ziara ya kikazi wilayani Tarime. Taarifa za kifo chake zilitolewa kwa waandishi wa habari na Mkuu wa Wilaya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-I2L9RxSe4U0/VX6Gp_kJbcI/AAAAAAABQNI/DLiflAhZ77A/s72-c/MSIKITI.2.jpg)
BREAKING NEWS: MUFTI MKUU WA TANZANIA SHEIKH ISSA SHAABAN SIMBA AFARIKI DUNIA LEO ASUBUHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-I2L9RxSe4U0/VX6Gp_kJbcI/AAAAAAABQNI/DLiflAhZ77A/s640/MSIKITI.2.jpg)
Habari zilizotufikia hivi punde zinaarifu kuwa Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Shaaban Issa Simba amefariki dunia.Akidhibitisha kutokea kwa kifo hicho Shehe Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Sheikh Alhadi Mussa Salim amesema Mufti amefikwa na umauti hii leo asubuhi."Ni kweli Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Shaaban Issa Simba amefariki hii leo asubuhi kwa maradhi ya sukari na presha," alisema kwa ufupi Sheikh...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-x3kCeZLOSE8/UzFCw2B63DI/AAAAAAAFWIE/tMlkIMiDDsE/s72-c/TUPA.jpg)
BREKING NYUZZZZZ: MKUU WA MKOA WA MARA MHE JOHN TUPA AFARIKI DUNIA WILAYANI TARIME LEo
![](http://2.bp.blogspot.com/-x3kCeZLOSE8/UzFCw2B63DI/AAAAAAAFWIE/tMlkIMiDDsE/s1600/TUPA.jpg)
11 years ago
MichuziMAELFU WAJITOKEZA KUUGA MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA MAREHEMU JOHN GABRIEL TUPA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QbGe-CQwgxw/UzV08rhRcaI/AAAAAAAFW_I/TAIippwBq40/s72-c/DSC_0123.jpg)
Mamia wajitokeza kuuaga Mwili wa Marehemu John Gabriel Tupa aliekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara
![](http://2.bp.blogspot.com/-QbGe-CQwgxw/UzV08rhRcaI/AAAAAAAFW_I/TAIippwBq40/s1600/DSC_0123.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-x11H1ZDScaY/UzV08agEGLI/AAAAAAAFW_E/LaXblkRcMIE/s1600/DSC_0131.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9lwgqdMYck4/UzV083h7AmI/AAAAAAAFW_M/qDXWf8aWfTk/s1600/DSC_0129.jpg)
11 years ago
GPLMAELFU WAJITOKEZA KUUGA MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA MAREHEMU JOHN GABRIEL TUPA
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Sheikh Mkoa wa Mara afariki dunia
SHEIKH Mkuu wa Mkoa wa Mara, Othman Magee, amefariki dunia juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa akisumbuliwa na saratani ya kibofu. Akizungumza na Tanzania Daima juzi jijini Dar...
11 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT BILAL AONGOZA MAZISHI YA MKUU WA MKOA WA MARA,MAREHEMU JOHN GABRIEL LEO MKOANI MOROGORO
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Z_08nFtIzrw/Vajno4GN8wI/AAAAAAABSBU/XsD9k2y5pdo/s72-c/banza%2Bstone.jpg)
BREAKING NEWS: BANZA STONE AFARIKI DUNIA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z_08nFtIzrw/Vajno4GN8wI/AAAAAAABSBU/XsD9k2y5pdo/s640/banza%2Bstone.jpg)
CHANZO: EAST AFRIKA RADIO