BREKING NYUZZZZZ: MKUU WA MKOA WA MARA MHE JOHN TUPA AFARIKI DUNIA WILAYANI TARIME LEo
![](http://2.bp.blogspot.com/-x3kCeZLOSE8/UzFCw2B63DI/AAAAAAAFWIE/tMlkIMiDDsE/s72-c/TUPA.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Mara, Bwana John Tupa ( pichani, enzi za uhai wake) amefariki dunia akiwa katika ziara ya kikazi wilayani Tarime mkoani Mara asubuhi hii.
Habari zilizothibitishwa zinasema Marehemu Tupa alianguka na kupoteza fahamu akiwa katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Tarime akipokea taarifa kabla ya kufunga mafunzo ya mgambo wilayani humo.
Mara baada ya kuanguka juhudi za haraka zilifanyika na kumkimbiza hospitali ya Wilaya ya Tarime ambako alitangazwa kuwa ameshafariki mara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA ASHIRIKI MAZISHI MKUU WA MKOA WA MARA,MAREHEMU JOHN TUPA MKOANI MOROGORO
11 years ago
MichuziMAELFU WAJITOKEZA KUUGA MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA MAREHEMU JOHN GABRIEL TUPA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QbGe-CQwgxw/UzV08rhRcaI/AAAAAAAFW_I/TAIippwBq40/s72-c/DSC_0123.jpg)
Mamia wajitokeza kuuaga Mwili wa Marehemu John Gabriel Tupa aliekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara
![](http://2.bp.blogspot.com/-QbGe-CQwgxw/UzV08rhRcaI/AAAAAAAFW_I/TAIippwBq40/s1600/DSC_0123.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-x11H1ZDScaY/UzV08agEGLI/AAAAAAAFW_E/LaXblkRcMIE/s1600/DSC_0131.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9lwgqdMYck4/UzV083h7AmI/AAAAAAAFW_M/qDXWf8aWfTk/s1600/DSC_0129.jpg)
11 years ago
GPLMAELFU WAJITOKEZA KUUGA MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA MAREHEMU JOHN GABRIEL TUPA
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Mkuu wa Mkoa wa Mara afariki dunia
MKUU wa Mkoa wa Mara, John Tuppa, amefariki dunia jana akiwa katika ziara ya kikazi wilayani Tarime. Taarifa za kifo chake zilitolewa kwa waandishi wa habari na Mkuu wa Wilaya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DqaYw0w2aP*8vYgoC6UpvwrpOUVq0sC8J1FuVe2YYSPeY5izjTLhSc3Z3QjAN-bG4ceuzAK*IgflYONKHJY*x8z2rdTZFX0w/BREAKINGNEWS.gif)
BREAKING NEWS: MKUU WA MKOA WA MARA, GABRIEL TUPPA AFARIKI DUNIA
11 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT BILAL AONGOZA MAZISHI YA MKUU WA MKOA WA MARA,MAREHEMU JOHN GABRIEL LEO MKOANI MOROGORO
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Sheikh Mkoa wa Mara afariki dunia
SHEIKH Mkuu wa Mkoa wa Mara, Othman Magee, amefariki dunia juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa akisumbuliwa na saratani ya kibofu. Akizungumza na Tanzania Daima juzi jijini Dar...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xYlyc6tsACA/Vce8Q6vjfMI/AAAAAAAHvjg/koTL6LXCn9I/s72-c/c29d6388c9b9c3df8108dfb097a0b176.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ......: Mbunge wa Viti maalumu CUF, MH. Clara Mwatuka Afariki Dunia ajalini jioni ya leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-xYlyc6tsACA/Vce8Q6vjfMI/AAAAAAAHvjg/koTL6LXCn9I/s640/c29d6388c9b9c3df8108dfb097a0b176.jpg)
Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake,ambaye inasemekana ni mwanae.Maiti ipo Hospitali ya Rufaa ya Ndanda, Mkoani Mtwara.
Globu ya Jamii inaungana na Familia ya Marehemu katika kipindi hiki kigumu, na tunamuombea kwa...