Viongozi 2 wa Alshabaab wauawa kwa bomu
Viongozi wawili wa kundi la wapiganaji wa kiislamu wa Al shabaab nchini Somalia wameuawa kwenye shambulio la mabomu ya angani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
11 years ago
BBCSwahili27 Dec
Wanajeshi wa Somalia wauawa kwa Bomu
11 years ago
BBCSwahili03 May
Watatu wauawa kwa bomu Mombasa
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Watu 20 wauawa kwa bomu msikitini
Magari yakiungua wakati wa mlipuko huo.
Borno, Nigeria
WATU wapatao 20 wanasemekana kufa huko Maiduguri, Jimbo la Borno nchini Nigeria baada ya bomu kulipuka msikitini leo.
Kwa mujibu wa gazeti la Premium Times, wengi wa waliouawa wanaaminika ni wakazi wa eneo hilo ambao walikuwa wamekusanyika katika msikitu huo kufuatia uvumi kwamba kulikuwa na bomu lililokuwa limeachwa humo.
“Sijaona kitu cha kipumbavu kama hiki ambapo watu waliingia katika msikiti kuchunguza iwapo kweli kulikuwa na bomu. ...
10 years ago
BBCSwahili09 Nov
Wapiganaji 70 wa Alshabaab wauawa
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Watu zaidi ya 60 wauawa kwa Bomu Iraq
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Askari na Waasi wauawa kwa Bomu Syria
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
Wapiganaji wa Alshabaab wauawa Somalia