AL SHABAB YASHAMBULIA OFISI YA UN PUNTLAND, SOMALIA

Kikundi cha wapiganaji cha Al Shabaab. Kikundi cha kigaidi cha Al Shabaab leo tena kimefanya shambulio katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa katika mji wa Garowe huko Puntland nchini Somalia. Habari zinasema kuwa, shambulio hilo lilikuwa la kujilipua kwa mabomu limesababisha vifo vya watu wanaokaribia kumi wakiwemo raia nwa Kenya wawili. Taarifa kutoka kutoka kwa Ofisa wa polisi ya mji wa Garowe, Mohamed Abdi amesema mlipuko huo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Apr
Saba wauawa Puntland , Somalia
10 years ago
GPL
SOMALIA: AL SHABAAB YASHAMBULIA NA KUUA WATU 9 MOGADISHU
11 years ago
BBC
US attacks al-Shabab in Somalia
11 years ago
BBC
10 years ago
BBC
VIDEO: Somalia al-Shabab defector
10 years ago
BBC
Somalia bans al-Shabab name in media
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Kiongozi wa Al shabab auawa Somalia
11 years ago
BBC
VIDEO: Somalia's battle against al-Shabab
10 years ago
BBC
Somalia bounty on al-Shabab leaders