Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AL SHABAB YASHAMBULIA OFISI YA UN PUNTLAND, SOMALIA

Kikundi cha wapiganaji cha Al Shabaab. Kikundi cha kigaidi cha Al Shabaab leo tena kimefanya shambulio katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa katika mji wa Garowe huko Puntland nchini Somalia. Habari zinasema kuwa, shambulio hilo lilikuwa la kujilipua kwa mabomu limesababisha vifo vya watu wanaokaribia kumi wakiwemo raia nwa Kenya wawili. Taarifa kutoka kutoka kwa Ofisa wa polisi ya mji wa Garowe, Mohamed Abdi amesema mlipuko huo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Saba wauawa Puntland , Somalia

Polisi nchini Somalia wanasema kuwa takriban watu Saba wameuawa kwenye shambulizi katika eneo linalojisimamia la Puntland.

 

10 years ago

GPL

SOMALIA: AL SHABAAB YASHAMBULIA NA KUUA WATU 9 MOGADISHU

Maofisa wa Polisi nchini Somalia wakiingia ndani ya jengo lililovamiwa na Al Shabaab ili kukabiliana nao. Watu 9 wameripotiwa kuuawa katika jengo ya Wizara ya Elimu mjini Mogadishu, Somalia. Vyombo vya habari mjini Mogadishu vimeripoti kuwa wavamizi hao walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo la waizara ya elimu nchini humo. Kabla ya wavamizi kadhaa kuingia ndani ya jengo walianza kwa  kupiga risasi za...

 

10 years ago

BBC

US attacks al-Shabab in Somalia

The US military says it carried out a military operation against al-Qaeda-linked al-Shabab militants in Somalia.

 

11 years ago

BBC

Somalia's al-Shabab: Striking like mosquitoes

Why Somalia's Islamist fighters keep biting back

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Somalia al-Shabab defector

One of the most senior figures to defect from al-Shabab in Somalia has urged his former colleagues to stop targeting civilians.

 

10 years ago

BBC

Somalia bans al-Shabab name in media

Somalia bans journalists from using the name al-Shabab - instead they have to refer to it as Ugus "the Group that Massacres the Somali People".

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al shabab auawa Somalia

Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema imethibitisha kuwa shambulio la ndege la wiki iliyopita nchini Somalia dhidi ya Al Shabab.

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Somalia's battle against al-Shabab

International forces in Somalia are battling al-Shabab Islamist insurgents who control more land than any other al-Qaeda affiliate organisation across the world.

 

10 years ago

BBC

Somalia bounty on al-Shabab leaders

Somalia's government offers rewards for information leading to the capture of the top 11 commanders of the militant Islamist al-Shabab group.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani