Wanajeshi washika doria Bujumbura
Jeshi nchini Burundi linapiga doria kwenye mitaa ya mji mkuu Bujumbura ambapo waandamanaji wameahidi kufanya maandamano
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili01 Jun
Wanajeshi washika doria mjini Bangkok
11 years ago
BBCSwahili14 Jun
Wanajeshi wa Iraq waimarisha doria
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Wanajeshi Afrika kusini kuanza Doria
11 years ago
Habarileo06 Mar
Doria za uvuvi haramu kuendelea
DORIA za maeneo ya hifadhi ya uvuvi, Unguja na Pemba kwa kiasi kikubwa zimepunguza uvuvi haramu uliokuwa ukifanywa na wavuvi wasiokuwa waaminifu. Mkuu wa Doria wa Idara ya Maendeleo ya Uvuvi ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Haji Shomari alisema doria hizo zinazowashirikisha wavuvi kutoka katika kamati za uvuvi za shehia zimefanikiwa kudhibiti uvuvi haramu kwa asilimia kubwa.
10 years ago
Habarileo18 Sep
Polisi wa doria wapigwa bomu
SIKU chache baada ya majambazi kuvamia Kituo Kikuu cha Polisi wilayani Bukombe mkoani Geita, kuua askari wawili na kuiba silaha za moto, watu wasiofahamika wamewajeruhi askari watatu waliokuwa doria kwa kuwarushia kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu.
10 years ago
Habarileo06 Apr
Kanda maalumu watumia helkopta kufanya doria
JESHI La Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limeimarisha ulinzi katika kukabiliana na viashiria vya matukio ya kihalifu na ujambazi kwa kufanya doria ya helikopta katika mkoa huo na baadhi ya maeneo ya mkoa wa Pwani, katika msimu huu wa sikukuu ya Pasaka.
11 years ago
Habarileo21 Dec
‘Doria kuwa endelevu maeneo Mji Mkongwe’
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema doria katika maeneo ya Mji Mkongwe na sehemu nyingine itakuwa endelevu kwa ajili ya kukabiliana na matukio ya uhalifu, ikiwemo tindikali kwa wageni.
11 years ago
BBCSwahili02 Jun
Mbwembwe Malawi -Rais Mpya kushika doria
11 years ago
Habarileo01 Jan
Polisi kufanya doria kwa helikopta Mwaka Mpya
POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam imetangaza leo kufanya doria kwa kutumia helikopta ili kuangalia hali ya usalama katika jiji hilo katika sikukuu ya Mwaka Mpya.