Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi washika doria Bujumbura

Jeshi nchini Burundi linapiga doria kwenye mitaa ya mji mkuu Bujumbura ambapo waandamanaji wameahidi kufanya maandamano

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi washika doria mjini Bangkok

Maelfu ya polisi pamoja na wanajeshi wamepelekwa katika mji mkuu wa Thailand Bangkok kwa jaribio la kuangamiza maandamano.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Iraq waimarisha doria

Wanajeshi watiifu wa serikali ya Iraq wameimarisha doria katika mji wa Samarra dhidi ya wanamgambo wa kundi la ISIS

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi Afrika kusini kuanza Doria

Wanajeshi wa Afrika Kusini wataanza Doria kudhibiti vitendo vya ukatili dhidi ya watu kutoka mataifa ya Afrika

 

11 years ago

Habarileo

Doria za uvuvi haramu kuendelea

DORIA za maeneo ya hifadhi ya uvuvi, Unguja na Pemba kwa kiasi kikubwa zimepunguza uvuvi haramu uliokuwa ukifanywa na wavuvi wasiokuwa waaminifu. Mkuu wa Doria wa Idara ya Maendeleo ya Uvuvi ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Haji Shomari alisema doria hizo zinazowashirikisha wavuvi kutoka katika kamati za uvuvi za shehia zimefanikiwa kudhibiti uvuvi haramu kwa asilimia kubwa.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi wa doria wapigwa bomu

Mkurugenzi wa Upepelezi na Makosa ya Jinai, Issaya MnguluSIKU chache baada ya majambazi kuvamia Kituo Kikuu cha Polisi wilayani Bukombe mkoani Geita, kuua askari wawili na kuiba silaha za moto, watu wasiofahamika wamewajeruhi askari watatu waliokuwa doria kwa kuwarushia kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu.

 

10 years ago

Habarileo

Kanda maalumu watumia helkopta kufanya doria

Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman KovaJESHI La Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limeimarisha ulinzi katika kukabiliana na viashiria vya matukio ya kihalifu na ujambazi kwa kufanya doria ya helikopta katika mkoa huo na baadhi ya maeneo ya mkoa wa Pwani, katika msimu huu wa sikukuu ya Pasaka.

 

11 years ago

Habarileo

‘Doria kuwa endelevu maeneo Mji Mkongwe’

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema doria katika maeneo ya Mji Mkongwe na sehemu nyingine itakuwa endelevu kwa ajili ya kukabiliana na matukio ya uhalifu, ikiwemo tindikali kwa wageni.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mbwembwe Malawi -Rais Mpya kushika doria

Viongozi wa Mataifa mbalimbali wanatarajiwa kuhudhuria sherehe za kumkabidhi madaraka rais mpya wa Jamhuri ya Malawi hii leo.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi kufanya doria kwa helikopta Mwaka Mpya

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman KovaPOLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam imetangaza leo kufanya doria kwa kutumia helikopta ili kuangalia hali ya usalama katika jiji hilo katika sikukuu ya Mwaka Mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani