Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tofauti ya kidini yavunja ndoa India

Maafisa wa polisi nchini India wamefutilia mbali harusi kati ya mwanamume mkristo na mwanamke wa kihindu kutokana na dini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mahakama yavunja ndoa ya mfanyabiashara

MAHAKAMA ya Mwanzo Utemini mjini Singida imeamuru kuvunjwa rasmi kwa ndoa kati ya mfanyabiashara Baltazar Mushi, maarufu kwa jina la 'Sam Mayuni' (34) na mkewe Lucy Msuya (32), ili kuepusha unyanyasaji zaidi kwa mkewe.

 

11 years ago

GPL

KATIBA MPYA IZUIE NDOA ZA UTOTONI BILA KUJALI IMANI ZA KIDINI

Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) Valery Msoka.
Na Walusanga Ndaki
SUALA la ndoa za watoto wadogo – chini ya umri wa miaka 18 – limekuwa likiendelea kwa miaka mingi bila kupatiwa ufumbuzi.  Tatizo hili, kwa mujibu wa mkanganyiko wa sheria zilizopo, limekuwa likipigiwa kelele bila ufumbuzi kwa zaidi ya miaka 40 sasa tangu kupitishwa kwa sheria yenye kuruhusu mtoto wa kike kufunga au...

 

10 years ago

Habarileo

SMS ya nabii yavunja ndoa ya muumini wake

UJUMBE mfupi wa simu ya mkononi (SMS) wa kimapenzi ambao ulitumwa kutoka simu inayomilikiwa na kiongozi wa kanisa la Ngurumo ya Upako, Nabii Geor David Kasambala kwenda kwa mke wa muumini wa kanisa hilo umesababisha ndoa kuvunjika. Mwanamke aliyetumiwa SMS na nabii huyo ni Pamela Godfrey, mke wa Wilson Lota, wote waumini wa kanisa linaloongozwa na Nabii Geor David.

 

10 years ago

Bongo5

Diamond na Zari wamefunga ndoa? Tuna jibu tofauti na wengi wanavyodhani!

Kwa imani ya watu wengi, huenda kuanzia Ijumaa ya leo, Zari ni Mrs Naseeb rasmi! Apparenty wawili hao wamefunga ndoa kimya kimya ama kuchumbiana – ofcourse kwa mujibu wa picha aliyopost Diamond kwenye Instagram usiku huu. “Wakati Mwingine Usiri Unabaraka zaidi…. Alhamdulillahemoji (Sometimes Privacy has more Blessings… Thank you so Much God,” ameandika Diamond kwenye […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Wamuua binti kwa 'kosa la ndoa' India

Wazazi wa mwanamke mmoja nchini India, wamekiri kwa polisi kumuua binti yao kwa sababu aliolewa kinyume na matakwa yao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mitandao yakataa ubaguzi wa kidini

Mitandao ya Twitter na facebook imekataa kuchapisha mamia ya jumbe za chuki dhidi ya dini ya kiislamu. .

 

11 years ago

BBCSwahili

Ghasia za kidini zitakwisha CAR?

Rais wa mpito wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Michel Djotodia,amejiuzulu katika siku ya mwisho ya mkutano wa kikanda nchini Chad ambao ulikuwa unatafuta suluhu kwa mgogoro wa kidini unaokumba nchi hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kusajili taasisi za kidini

Taasisi za kidini zinasajiliwa katika ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Hii ni pamoja na makanisa, misikiti, huduma au taasisi yoyote inayojihusisha na mambo ya kidini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ghana haina vita vya kidini

Serikali ya Ghana imekanusha madai kuwa inakabiliwa na vita vya kidini baada mashabiki kuomba hifadhi Brazil

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani